Tamasha la Karibu International Music Festival kufanyika novemba, 2015 mjini Bagamoyo
Mratibu wa Tamasha la Karibu International Music Festival, Richard Lupia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu tamasha la pili litakalofanyika mwezi Novemba mwaka huu katika viwanja vya Mwanakalenge Bagamoyo. Tamasha hilo limeandaliwa na Taasisi ya Karibu Cultural Promotion na kuratibiwa na Kampuni ya Legendary Music Entertainment. Kulia ni Ofisa Habari wa Kampuni ya Karibu International Music Festival, Said Hashim.
Wanahabari wakichukua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s72-c/2.jpg)
TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-je1plvSGRo8/VDPYwqUpTyI/AAAAAAAAX3I/cC_rKPkMXs0/s1600/3.jpg)
BOFYA...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s72-c/b1.jpg)
Tamasha la Karibu Music Bagamoyo Limerudi Tena Sasa ni tarehe 6,7 na 8 Novemba, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s640/b1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Papa Wemba awasili Dar, aelekea Bagamoyo kwenye Tamasha la Karibu Music Festival 2015
9 years ago
MichuziMwanamuziki Papa Wemba Awasili Dar, Aelekea Bagamoyo Kunogesha Tamasha la Karibu Music Festival 2015
Papa Wemba ametua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere (JNIA) majira ya saa nane kasoro na ndege ya shirika la Kenya (Kenya Airways-KQ).
Mara baada ya kuwasili msanii huyo pamoja na wanamuziki wake walipokewa na Meneja wake anayeratibu safari hiyo, Chebli Msaidie pamoja na waandaaji wa Tamasha...
9 years ago
MichuziPAPA WEMBA KUTUMBUIZA TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL NOVEMBA 6-8 MWAKA HUU
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Tamasha la Karibu Music Festival kukutanisha wanamuziki Bagamoyo
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Nguli wa muziki Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Music Festival Novemba 6-8 mwaka huu
Ofisa Mauzo wa Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO), Ernest Biseko katikati ambao ni waratibu wa Tamasha la Karibu Music Festival akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. kushoto ni ni msanii, Jhikolabwino Manyika – Jhikoman na Meneja Uvumbuzi wa kinywaji cha Jebel cha Kampuni ya SBL, Attu Mynah
MWANAMUZIKI nguli wa dansi kutoka nchini Congo DR, Papa Wemba ni miongoni mwa wasanii wanaotarajia kutumbuiza katika tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--n8Yax3uSS4/Vi5snXqWpQI/AAAAAAAIC58/J906IBphea0/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ndlc9K2CcP0/VjeoQNT5GkI/AAAAAAAID-Y/tdBxvzsteqg/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
This Weekend "Karibu Music Festival, Bagamoyo 2015"
![](http://1.bp.blogspot.com/-ndlc9K2CcP0/VjeoQNT5GkI/AAAAAAAID-Y/tdBxvzsteqg/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Headlining one of Africa's most popular musician and prominent in world music, PAPA WEMBA, and a variety of International Musicians from KENYA, UGANDA, TOGO and SOUTH AFRICA to NORWAY, PAKISTAN and JAMAICA.
With the a variety of Tanzanian Musicians, More than 20 Groups from Tanzania, ranging from...