Maximo awaadabisha wavivu Yanga
Kocha wa Yanga, Mbrazili Marcio Maximo amewaadabisha wachezaji wavivu kwa kuwapa adhabu ya kukimbia kuzunguka uwanja kwa saa nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Maximo: Nawaangalia tu Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Maximo says Yanga are going places
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo
10 years ago
CloudsFM16 Dec
Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Maximo basi tena Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SAALAM,
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGuACKeOvsYpeaLp78LUG2WoHOSqEnmfEkh2NkgnQswYI6HQGNutsPoez3VwKjpI5NcNnr0SQayROBU5WrZWUsJ/1.jpg)
Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbafai*V-2B6PdOIEsoAGrXWwEAW8yQC27FMH7CRtljs5HZcb8QuxBTg7UzXp9NkWosYFVKCSEiSPTK9D43mMRvVq/11.jpg?width=650)
MAXIMO ACHOTA SH 371M YANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6bKGt3yZ0C9BFsTciWMv*eizMHfqQZ*KHInUyjXJ2VlN5tt4BXqPsavplTWHvbLIpWL7G6URVPu0xtYmUGNFAi/1.jpg)
Maximo atangaza vikosi 2 Yanga
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Maximo awatisha wachezaji Yanga
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...