Manji ampandisha kizimbani kigogo Simba
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi
MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.
10 years ago
GPLSUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA
10 years ago
MichuziMJUMBE wa kamati ya utendaji ya Simba apandishwa kizimbani
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha alidai kuwa Al Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, 2015 kwenye Uwanja wa Taifa uliopo Chang'ombe .
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Meheub Manji na katika sehemu nyingine mbalimbali za mwili...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Blatter ampandisha cheo Issa Hayatou
10 years ago
CloudsFM22 Dec
CYRIL AMPANDISHA NDEGE PRODUCER WAKE BAADA YA KUGONGEWA NGOMA KALI
Hivi karibuni msanii wa Hip Hop Bongo,Cyril Kamikaze aliwashangaza watu kwa kumpa ofa producer wake Geoff Master wa studio ya Tongwe Records baada kupigiwa biti ya ngoma flani ambayo haijatoka, cyril alimpeleka mjini Zanzibar Geoff Master kwa siku kama nne kwa ajili ya mapumziko kama shukrani ya kumfanyia ngoma.
‘’Nimeamua kumpeleka producer wangu mjini Zanzibar kwa mapumziko kama shukrani ya kunifanyia ngoma kali ingawa sijajua kama itafanya vizuri au haitafanya vizuri lakini ni ngoma...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YYdvxgPajAg/Xtd0prAWCMI/AAAAAAALsao/c5JKqEi_kEUx7RG4iO9l0vPRv1zKhNKtACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B12.50.54.png)
RAIS DKT. MAGUFULI AMPANDISHA CHEO MKUU WA JKT, MEJA JENERALI CHARLES MBUGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-YYdvxgPajAg/Xtd0prAWCMI/AAAAAAALsao/c5JKqEi_kEUx7RG4iO9l0vPRv1zKhNKtACLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B12.50.54.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LeohAq9rHMc/Xtd0qMsd3UI/AAAAAAALsas/RZ6Ue_kL3OggA7eHaKnOYu0AIQtV3cNAgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B12.50.19.png)
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Manji ajibu mapigo