SUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA
Manji akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza kwa makini.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xzj-CKpKsEDj8srqWlS9BRFziVCry63SEHf9HnqZBHkNUyxab8Iuiv61L7BzzGKJcnZLqH*Qm2n5Bn7MV79PWXC/11.jpg?width=650)
Manji azuia mamilioni ya Okwi
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Manji amgeuzia kibao Okwi
SAKATA la Mshambuliaji wa Kimataifa Emmanuel Okwi kuikacha timu yake ya Yanga aliyojifunga nayo mkaraba wa miaka miwili na kurejea Simba, limechukua sura mpya baada ya Yanga kumtaka awalipe fidia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmnpwGOvDa-FtqRo-oTS7kGw*PntjIMwJzFg8zptIIXy6x-UU*n9J2weX55WwyJIwMdJi0kc4S*uze7fhuQ-IHl/okw.gif?width=650)
Okwi ampigia magoti Manji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fNryDs90bWGTjix4l4Is6kFlrfPpclPsgVyzpWSmUH1C5cIrh8fZh0xUu8b6gaVvs6vXOYQZ6wfCtHYKIXq4su/manji.gif?width=650)
Manji amdai Okwi mamilioni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3Be3f79bn9IqROR6UibOBH0CTeXFDSRkVCODYJv0L3Ix6oIgpG*rDDO30IZ9Twbkw00lZw32FxzkI8Xs*0cgYqq/fifa.jpg?width=650)
Fifa yaliibua upya suala la Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMrdSGT5fDZWw9MBE8Gq2nTv04Lpm2bMieHpYiiqAr6ISi--S6jta4Pl4fID8Feqpxd21cmWnQCtlourIvG97Soi/sima.gif?width=650)
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Kaduguda ‘apasuka’ suala la Mo Simba
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa zamani wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda, ameeleza kuwa klabu hiyo kwa sasa haihitaji mtu mwenye fedha ili kuimiliki badala yake inahitaji mwenye uwezo wa kufikiri na kutumia fursa ya rasilimali zilizopo ndani ya klabu hiyo ili kupata fedha.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa mjadala mkali uliokuwa ukimhusu mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji ‘Mo’, kutaka kuwekeza Sh bilioni 20 katika klabu hiyo.
Akizungumza katika kituo kimoja cha...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Manji ampandisha kizimbani kigogo Simba
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa...