Kaduguda ‘apasuka’ suala la Mo Simba
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa zamani wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda, ameeleza kuwa klabu hiyo kwa sasa haihitaji mtu mwenye fedha ili kuimiliki badala yake inahitaji mwenye uwezo wa kufikiri na kutumia fursa ya rasilimali zilizopo ndani ya klabu hiyo ili kupata fedha.
Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa mjadala mkali uliokuwa ukimhusu mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji ‘Mo’, kutaka kuwekeza Sh bilioni 20 katika klabu hiyo.
Akizungumza katika kituo kimoja cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kaduguda wa Simba aibuka tena
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda ‘Simba wa Yuda,’(pichani) ameamua kuvunja ukinywa kwa kusema kuwa, Simba kwa sasa haihitaji matajiri, bali yenyewe ni tajiri kiasi cha kutosha kuweza kujiendesha.
Kwa mujibu wa Kaduguda, haoni haja ya matajiri ndani ya Simba, ambao wakikumaliza muda wao, Simba inabaki masikini huku akitamba kuwa, katika uongozi wake aliisaidia klabu hiyo kuwa na wadhamini wa kudumu kama Kilimanjaro Premium Lager na wengineo.
“Unajua...
11 years ago
MichuziKITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA"KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA CHAZINDULIWA RASMI LEO
11 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA, NA MICHEZO AZINDUA RASMI KITABU CHA "HISTORIA YA KLABU YA SIMBA" KILICHOANDIKWA NA MWINA KADUGUDA
10 years ago
GPLSUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Wambura, Kaduguda ndani uchaguzi Taswa
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
EU, Uturuki zakubaliana suala wakimbizi
10 years ago
Mtanzania18 May
Raza aibukia suala la Escrow
Na Patricia Kimelemeta
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...
10 years ago
BBCSwahili12 May
Suala la wakimbizi litatuliwe kipekee
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Lissu: Tusijadili suala la Zitto
Lushoto, Korogwe, Muheza na Tanga MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu, amewataka Watanzania, hususan wanachama wa chama hicho kutopoteza muda kujadili suala la baadhi ya wanachama waliopatikana na makosa ya...