Wambura, Kaduguda ndani uchaguzi Taswa
>Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimemteua Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura na katibu mkuu wa zamani wa Simba, Mwina Kaduguda Kamati ya Kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Taswa Februari 16.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
AllAfrica.Com23 Apr
Wambura Leads Taswa Statutes Team
AllAfrica.com
TANZANIA Sports Writers Association (TASWA) Executive Committee has appointed former Chairman Boniface Wambura as head of the association's Constitution Reform Committee. TASWA Secretary General Amir Mhando said in Dar es Salaam on ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
>Siku moja baada ya kuenguliwa kwa mara ya sita kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Simba, Michael Wambura, amesema: “Imetosha, yatosha, sina cha kusema.â€
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uL3l-94vtrM/U4TtGFqEpwI/AAAAAAAFlmg/ysnRLrtx79Y/s72-c/download+(1).jpg)
Michael Richard Wambura aenguliwa Uchaguzi mkuu wa Simba SC
Na Mahmoud Zubeiry
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL3l-94vtrM/U4TtGFqEpwI/AAAAAAAFlmg/ysnRLrtx79Y/s1600/download+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gOneWoOs0SM/UvTTxjYhJTI/AAAAAAAFLlI/hV9K_G8ToTg/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA WASOGEZWA MBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOneWoOs0SM/UvTTxjYhJTI/AAAAAAAFLlI/hV9K_G8ToTg/s1600/TASWALOGO.jpg)
Uamuzi wa kusogeza mbele tarehe ya kufanyika uchaguzi huo imechukuliwa na Sekretarieti ya TASWA kutokana na sababu mbalimbali, lakini kubwa ni kutoa nafasi kwa wanachama wengi zaidi kulipia ada zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo wa uchaguzi.
Hadi kufikia leo mchana idadi ya...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Kumekucha uchaguzi mkuu TASWA
UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Februari 16 mwaka huu jijini Dar es Salaam huku Ofisa Habari wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania