Michael Richard Wambura aenguliwa Uchaguzi mkuu wa Simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL3l-94vtrM/U4TtGFqEpwI/AAAAAAAFlmg/ysnRLrtx79Y/s72-c/download+(1).jpg)
Na Mahmoud Zubeiry
KAMA ilivyotarajiwa, Michael Richard Wambura (pichani) ameenguliwa katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi mkuu wa Simba SC unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao, kwa sababu kubwa mbili.Akizungumza katika Mkutano maalum na Waandishi wa Habari mchana huu makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), makutano ya mitaa ya Ohio na Libya, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba SC, Wakili Dk Damas Daniel Ndumbaro amesema Wambura ameondolewa kwa sababu kwa sasa si...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7SaTPFyosgw/U57DZy72fDI/AAAAAAAFq9g/qIuuv5oLj7g/s72-c/3.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: MICHAEL WAMBURA AONDOLEWA TENA UCHAGUZI MKUU SIMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7SaTPFyosgw/U57DZy72fDI/AAAAAAAFq9g/qIuuv5oLj7g/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dSLdOqjU7LQ/Vav4cBb91hI/AAAAAAAHqjw/ttw4RLzxoxY/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uCLeOqk6kTg/U6MRBWATa5I/AAAAAAAFrzA/Ja-CfbhhA2k/s72-c/download.jpg)
RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF
![](http://2.bp.blogspot.com/-uCLeOqk6kTg/U6MRBWATa5I/AAAAAAAFrzA/Ja-CfbhhA2k/s1600/download.jpg)
Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...
11 years ago
Michuzi10 Jun
RUFANI YA MICHAEL WAMBURA KUGOMBEA URAIS SIMBA SC
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Uchaguzi Mkuu Simba Juni 29
KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba imetangaza kuanza kutoa fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kesho, tayari kwa uchaguzi utakaofanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam. Serikali ilipitisha...
11 years ago
GPLUCHAGUZI MKUU WA SIMBA SC WAFANYIKA
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga