Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


michael richard wambura ajitosa ubunge kinondoni


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA RICHARD MICHAEL WAMBURA YAKWAMA TFF

Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeikataa rufani ya  Michael Richard Wambura (pichani) kupinga kuenguliwa kugombea urais katika uchaguzi wa klabu ya Simba unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

Wambura aliwasilisha rufani yake mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini ya Kaimu Mwenyekiti Wakili Mwita Waissaka kupinga uamuzi wa kumwengua katika kinyang’anyiro hicho uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya...

 

11 years ago

Michuzi

Michael Richard Wambura aenguliwa Uchaguzi mkuu wa Simba SC


Na Mahmoud Zubeiry KAMA ilivyotarajiwa, Michael Richard Wambura (pichani) ameenguliwa katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi mkuu wa Simba SC unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao, kwa sababu kubwa mbili.Akizungumza katika Mkutano maalum na Waandishi wa Habari mchana huu makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), makutano ya mitaa ya Ohio na Libya, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba SC, Wakili Dk Damas Daniel Ndumbaro amesema Wambura ameondolewa kwa sababu kwa sasa si...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI

Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM na Mwanasheria wa siku nyingi, Emmanuel Tamila Makene (kulia) akipokea fomu za kugombea kuteuliwa kugombea kuteuliwa kuwania Ubunge Jimbo la Kinondoni katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 Mwakahuu nchini kote. Makene ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Kinondoni amechukua fomu hiyo leo, Ofisi za Chama Kinondoni Mkwajuni Dar es Salaam. Makene akisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu hiyo leo katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni.

 Makene...

 

10 years ago

Michuzi

WAKILI EMMANUEL TAMILA MAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI

Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wakili  wa siku nyingi, Emmanuel Tamila Makene (kulia) akipokea fomu za kugombea kuteuliwa kugombea kuteuliwa kuwania Ubunge Jimbo la Kinondoni katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 Mwakahuu nchini kote. Makene ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Kinondoni amechukua fomu hiyo leo, Ofisi za Chama Kinondoni Mkwajuni Dar es Salaam.Makene akisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu hiyo leo katika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni.

 Makene...

 

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA MICHAEL WAMBURA KUGOMBEA URAIS SIMBA SC

Uamuzi kuhusu rufani ya Michael Wambura kupinga kuenguliwa kugombea urais wa Rais utatangazwa kesho (Juni 11 mwaka huu) saa 6 kamili mchana na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Julius Lugaziya.

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: MICHAEL WAMBURA AONDOLEWA TENA UCHAGUZI MKUU SIMBA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Klabu ya Simba SC,Wakili Damas Ndumbaro akitoa tamko la kumuondoa kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Klabu ya Simba SC,Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti,Michael Richard Wambura kwa kosa la kufanya kampeni kinyume na kanuni na sheria za Uchaguzi za TFF.Ndumbaro ameyasema hayo leo wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari,ambapo amesema kuwa wamefikia uamuzi huo baada ya Kamati yake kukaa na kujadiliana mambo mbali mbali kuhusu Uchaguzi huo Mkuu...

 

10 years ago

IPPmedia

The Kinondoni Regional Police Commander (RPC) SACP Kamelius Wambura


IPPmedia
The Kinondoni Regional Police Commander (RPC) SACP Kamelius Wambura
IPPmedia
A Police post at Bunju 'A' in Kinondoni district, Dar es Salaam region was yesterday gutted by fire after police used teargas on a crowd protesting the death of a 10 year old schoolgirl. A group of unidentified people set alight the police post on ...
Mob burns police post at Bunju in DarDaily News

all 3

 

10 years ago

Habarileo

Kamishna wa Sensa ajitosa ubunge Kiteto

, Amina Mrisho Said KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012, Amina Mrisho Said ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kiteto mkoani Manyara, huku akitamba kuhamasisha ujenzi wa soko la kimataifa la mazao hasa mahindi.

 

10 years ago

Raia Mwema

Mjukuu wa Nyerere ajitosa ubunge Mara

MJUKUU wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Julia Madaraka Nyerere, ameanza kufuata nyayo za

Christopher Gamaina

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani