Mjukuu wa Nyerere ajitosa ubunge Mara
MJUKUU wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Julia Madaraka Nyerere, ameanza kufuata nyayo za
Christopher Gamaina
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Kinara uporaji viwanja amtumia vibaya mjukuu wa Mwl. Nyerere
WAKATI Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni likiendelea kufanya uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili Paul Mushi, anayedaiwa kuwa kinara wa mtandao wa uporaji wa viwanja jijini Dar es Salaam, imebainika kuwa...
10 years ago
Mtanzania29 May
Maalim seif ajitosa urais mara tano
ESTHER MBUSSI NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
MAKAMU wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amejitosa tena kwa mara ya tano kuchukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar.
Kutokana na hatua hiyo amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kijiandae kisaikolojia kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), itakayoongozwa naye huku akisema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ndiyo utaamua hatima yake kisiasa.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu wa CUF, aliyasema hayo jana mjini...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kamishna wa Sensa ajitosa ubunge Kiteto
KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012, Amina Mrisho Said ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kiteto mkoani Manyara, huku akitamba kuhamasisha ujenzi wa soko la kimataifa la mazao hasa mahindi.
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Magige Nyerere naye ajitosa kuwania urais
NA KHADIJA MUSSA MTOTO mwingine wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Magige Nyerere, amejitokeza na kuonyesha nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Magige ni mtoto wa pili wa Mwalimu Nyerere kuonyesha nia ya kuwania uras baada ya hivi karibuni Makongoro Nyerere, kutajwa kuwa ni miongoni mwa watu wanaowania nafasi hiyo. Mke wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere amebariki watoto hao kuwania nafasi hiyo na kusema ni raia halali wa Tanzania na...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Ofisa habari ajitosa ubunge Mbinga Mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dSLdOqjU7LQ/Vav4cBb91hI/AAAAAAAHqjw/ttw4RLzxoxY/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Ali Salehe ajitosa ubunge Mji Mkongwe
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWANDISHI wa habari mkongwe, Ali Saleh Ali, ni miongoni mwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) waliochukua fomu za kuwania nafasi ya ubunge wa Mji Mkongwe visiwani Zanzibar. Kaimu Katibu wa jimbo hilo wa CUF, Nassor Amin Said, alisema mwandishi huyo anafanya idadi ya wanachama wane waliojitokeza hadi sasa kuchukua fomu za ubunge ambapo wawili ndio waliorejesha. Aliwataja wanachama wengine ni waliochukua fomu kuwa ni Mohamed Noor Mohamed, Badru Adam Ali na mbunge...
10 years ago
VijimamboMAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
GPLKAMISHNA WA SENSA MSTAAFU AJITOSA UBUNGE KITETO