KAMISHNA WA SENSA MSTAAFU AJITOSA UBUNGE KITETO
Kamishna Mstaafu wa Sensa ya Watu na Makazi 2012, Hajjat Amina Mrisho Said (kulia) akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la kiteto kwa tiketi ya CCM leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni  mmewe Bw. Alhajj Abeid Omary Khamis. Wanahabari wakichukua tukio. Hajjat Amina…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kamishna wa Sensa ajitosa ubunge Kiteto
KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012, Amina Mrisho Said ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kiteto mkoani Manyara, huku akitamba kuhamasisha ujenzi wa soko la kimataifa la mazao hasa mahindi.
10 years ago
MichuziKAMISHNA WA SENSA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KITETO MKOANI MANYARA
11 years ago
MichuziKAMISHNA WA SENSA YA WATU NA MAKAZI ASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
11 years ago
MichuziKAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI
10 years ago
MichuziTaarifa ya msiba wa Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka
Mheshimiwa Jaji Lillian Mashaka anasikitika kutangaza kifo cha Mume wake Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka kilichotokea siku ya Jumapili tarehe 23/11/2014. Msiba upo nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam(nyumba za serikali).
Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 26/11/2014.Ratiba itaanzia nyumbani saa 4 asubuhi na hatimaye misa takatifu katika kanisa la Mt. Martha Mikocheni, Saa 7 mchana.
Mazishi...
10 years ago
GPLMAZISHI YA KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA YAFANYIKA MOSHI
10 years ago
VijimamboJaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani ajitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM