Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinara uporaji viwanja amtumia vibaya mjukuu wa Mwl. Nyerere

WAKATI Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni likiendelea kufanya uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili Paul Mushi, anayedaiwa kuwa kinara wa mtandao wa uporaji wa viwanja jijini Dar es Salaam, imebainika kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya kimataifa ya elimu yaanza katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere SabaSaba jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere

Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius NyerereSIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto amtumia Mwalimu Nyerere

nyerereNa Bakari Kimwanga, Morogoro
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliugeuza Mkoa wa Morogoro kuwa wa viwanda lakini kushindwa kusimamiwa kwa sera zake na viongozi wa Serikali iliyoko madarakani kumesababisha wananchi wake kubaki maskini.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Ndege mjini hapa.
Alisema ndiyo maana ACT- Wazalendo inaamini katika misingi ya Nyerere inayoleta usawa wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka

NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Raia Mwema

Mjukuu wa Nyerere ajitosa ubunge Mara

MJUKUU wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Julia Madaraka Nyerere, ameanza kufuata nyayo za

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Mwl. Nyerere angewakemea Mgimwa, Kikwete

BAADA ya kuona matokeo ya kura za wagombea ubunge katika majimbo ya Chalinze na Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), nilijikuta nikimkumbuka hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Nilitamani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani