Maalim seif ajitosa urais mara tano
ESTHER MBUSSI NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
MAKAMU wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amejitosa tena kwa mara ya tano kuchukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar.
Kutokana na hatua hiyo amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kijiandae kisaikolojia kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), itakayoongozwa naye huku akisema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ndiyo utaamua hatima yake kisiasa.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu wa CUF, aliyasema hayo jana mjini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
9 years ago
Habarileo10 Sep
Maalim Seif azindua safari ya Urais
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema endapo atashinda katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, atahakikisha anaurudisha bungeni mchakato wa Rasimu ya Katiba.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s72-c/unnamed+(33).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad mgeni rasmi katika mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWb25d9h6UI/Uu6YqqciUjI/AAAAAAAFKbI/zwUwL3VZzBU/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-huP7FUwaqbc/Uu6YqmSD4FI/AAAAAAAFKbE/KfPKrnTio2M/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_cPjbTsGho/Uu6YrGi9rPI/AAAAAAAFKbY/QpjyL7pIhFo/s1600/unnamed+(36).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Maalim Seif hatoshi urais wa Zanzibar — Vuai
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka Wazanzibari wasimchague Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, iwapo atawania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Kimedai Maalim Seif, hana utashi na dhamira...
10 years ago
Mtanzania25 May
CUF-Maalim Seif asiachiwe urais mwenyewe
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimewataka wanachama wake wenye sifa za kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar wajitokeze kuchukua fomu kugombea nafasi hiyo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa chama hicho, Omar Ali Shehe, amewaambia waandishi wa habari jana kwamba, wanachama wanatakiwa wasimuachie Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharrif Hamad, kuchukua fomu ya urais peke yake.
“Tunawataka wanachama wenye sifa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea urais, wasimuachie Maalim...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Hatihati ya Maalim Seif kushinda urais Zanzibar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.
NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]
The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ADAHAMINIWA TENA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-3jFLXWTdX3s/VUc9zlnIlaI/AAAAAAABtqs/i-kqalbjz-w/s640/ud2.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Maalim Seif: Zanzibar,Bara zipokezane urais