Ofisa habari ajitosa ubunge Mbinga Mashariki
Ofisa habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32) ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Jimbo la Mbinga Mashariki mkoani Ruvuma katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWANDISHI WA HABARI KALULUNGA AJITOSA MBIO ZA UBUNGE MBEYA VIJIJINIâ€
9 years ago
Vijimambo26 Oct
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mgombea ubunge adaiwa kumshambulia ofisa wa chama chake
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Mwanahabari Humphrey Kisika atangaza kumvaa Kayombo mbunge wa Mbinga Mashariki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu
Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32).
Na Fredy Mgunda
Katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika octoba mwaka huu Afisa Habari na Mahusiano wilaya ya Iringa Hafley Kisika ametangaza kugombea ubunge katika jimbo la Mbinga mashariki kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, ili kuleta maendeleo katika jimbo hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari KISIKA amesema kuwa sababu inayompelekea kugombea ubunge katika jimbo hilo ni pamoja na kuleta siasa...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kamishna wa Sensa ajitosa ubunge Kiteto
KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012, Amina Mrisho Said ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kiteto mkoani Manyara, huku akitamba kuhamasisha ujenzi wa soko la kimataifa la mazao hasa mahindi.
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Mjukuu wa Nyerere ajitosa ubunge Mara
MJUKUU wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Julia Madaraka Nyerere, ameanza kufuata nyayo za
Christopher Gamaina
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dSLdOqjU7LQ/Vav4cBb91hI/AAAAAAAHqjw/ttw4RLzxoxY/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
10 years ago
GPLKAMISHNA WA SENSA MSTAAFU AJITOSA UBUNGE KITETO
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Ali Salehe ajitosa ubunge Mji Mkongwe
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWANDISHI wa habari mkongwe, Ali Saleh Ali, ni miongoni mwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) waliochukua fomu za kuwania nafasi ya ubunge wa Mji Mkongwe visiwani Zanzibar. Kaimu Katibu wa jimbo hilo wa CUF, Nassor Amin Said, alisema mwandishi huyo anafanya idadi ya wanachama wane waliojitokeza hadi sasa kuchukua fomu za ubunge ambapo wawili ndio waliorejesha. Aliwataja wanachama wengine ni waliochukua fomu kuwa ni Mohamed Noor Mohamed, Badru Adam Ali na mbunge...