Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA

Waombaji 27 kati ya 28 wamerejesha fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) utakaofanyika Machi 2, 2014 jijini Dar es Salaam.
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

FOMU ZA UCHAGUZI TASWA ZAANZA KUTOLEWA

Fomu za wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) utakaofanyika Machi 2, 2014 jijini Dar es Salaam zimeanza kutolewa leo (Februari 24 mwaka huu).
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo zinazotolewa Idara ya Habari (Maelezo) ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga

Wagombea wanne wa Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Vyama vya CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi na Causta jana wamerejesha fomu za kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo baada ya kukamilisha taratibu za kujaza fomu, huku wale wa CCM na Chadema wakitoa ujumbe mzito wa kuwataka wafuasi wa vyama vyao kutojihusisha na vurugu wakati wa kampeni.

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI TASWA WASOGEZWA MBELE

UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), uliokuwa umepangwa kufanyika Februari 16 umesogezwa mbele kwa wiki mbili na sasa utafanyika Machi 2, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Uamuzi wa kusogeza mbele tarehe ya kufanyika uchaguzi huo imechukuliwa na Sekretarieti ya TASWA kutokana na sababu mbalimbali, lakini kubwa ni kutoa nafasi kwa wanachama wengi zaidi kulipia ada zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo wa uchaguzi.
Hadi kufikia leo mchana idadi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumekucha uchaguzi mkuu TASWA

UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Februari 16 mwaka huu jijini Dar es Salaam huku Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura, Kaduguda ndani uchaguzi Taswa

>Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimemteua Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura na katibu mkuu wa zamani wa Simba, Mwina Kaduguda Kamati ya Kusimamia Uchaguzi Mkuu wa  Taswa Februari 16.

 

10 years ago

Habarileo

Taswa kujadili uchaguzi mkuu leo

KAMATI ya Utendaji ya chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) leo itakutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani