FOMU ZA UCHAGUZI TASWA ZAANZA KUTOLEWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bK57QoQdYbU/UwsqXz2uz7I/AAAAAAAFPPk/N9QYOe2z6rg/s72-c/TASWALOGO.jpg)
Fomu za wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) utakaofanyika Machi 2, 2014 jijini Dar es Salaam zimeanza kutolewa leo (Februari 24 mwaka huu).
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo zinazotolewa Idara ya Habari (Maelezo) ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog11 Nov
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Fomu uchaguzi CHADEMA Moro kutolewa leo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani hapa, kimetangaza kuanza kutoa fomu leo kwa wanachama wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi ya wilaya na jimbo huku kikitahadharisha vitendo...
11 years ago
MichuziShaffih Dauda achukua fomu kuwania nafasi ya Uenyekiti TASWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--KzOJaqGC3g/Uw2vOCP6_CI/AAAAAAACbIo/YmwPTO2eo0Q/s1600/Shafii+1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Kampeni uchaguzi Simba zaanza
KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Kampeini za uchaguzi zaanza Uingereza