Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi ampigia magoti Manji

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi, ameuomba msamaha uongozi wa timu hiyo na kuomba mwenyewe kurejea Jangwani. Hiyo ni baada ya kusikia taarifa za kupunguzwa kwa mkataba wake kutokea miaka miwili hadi mwaka mmoja kutokana na kushindwa kutimiza wajibu.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Tibaijuka ampigia magoti Magufuli

MGOMBEA ubunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka jana alilazimika kumpigia goti Dk Magufuli akiomba atakapochaguliwa, awezesha barabara inayotoka Muleba hadi Hospitali Teule ya Rubya, ijengwe kwa kiwango cha lami.

 

10 years ago

GPL

DAVINA AMPIGIA MAGOTI MAMA KANUMBA

Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Stori: Laurent Samatta
MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’, amesema anamuomba radhi mama wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa kwa kutofika kwenye uzinduzi wa kitabu cha marehemu mwanaye kutokana na taarifa hiyo kutomfikia mapema. Davina alikiri kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao walikuwa karibu sana na marehemu enzi za...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo

Kiba

Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.

Kiba

Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.

“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magoti kwa Manji yana maana gani?

GUMZO kubwa katika medani ya soka ndani ya wiki iliyopita ni hatua ya baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga, wakiongozwa na Bakili Makele, kumwomba Mwenyekiti wao, Yusuf Manji abatilishe...

 

11 years ago

GPL

Manji azuia mamilioni ya Okwi

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Lucy Mgina
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, ameonyesha ukomavu katika uongozi wa soka baada ya kukataa wachezaji wake kuuzwa katika kipindi timu yao inapambana kutetea ubingwa wa Tanzania Bara. Manji amekataa kuuzwa kwa Emmanuel Okwi kwa Klabu ya Al Ain ya Abu Dhabi ambayo ilikuwa tayari kutoa kitita cha dola 500,000 (Sh milioni 818) kwa kuwa si wakati mwafaka.… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manji amgeuzia kibao Okwi

SAKATA la Mshambuliaji wa Kimataifa Emmanuel Okwi kuikacha timu yake ya Yanga aliyojifunga nayo mkaraba wa miaka miwili na kurejea Simba, limechukua sura mpya baada ya Yanga kumtaka awalipe fidia...

 

11 years ago

GPL

Manji amdai Okwi mamilioni

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji(kulia). Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji jana Jumapili amezungumza kwa mara ya kwanza kila kitu kuhusu usajili wa kiungo wake mshambuliaji, Mganda, Emmanuel Okwi. Katika mazungumzo yake jana, Manji aliweka bayana kuwa, klabu hiyo inamdai Okwi mamilioni ya fedha kutokana na kushindwa kuitumikia timu hiyo kwa wakati tangu aliposajiliwa katika usajili wa...

 

10 years ago

GPL

SUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA

Manji akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza kwa makini.…

 

10 years ago

Mtanzania

Ndanda waipigia magoti Yanga

NA MICHAEL MAURUS, MTWARA

LIGI Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 inamalizika leo kwa timu 14 za ligi hiyo zitakapokuwa katika viwanjani tofauti, huku mabingwa wa ligi hiyo, timu ya Yanga wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara.

Yanga, walioondoka Dar es Salaam juzi, tayari wamewasili mkoani humo kuwavaa Ndanda katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, huku wenyeji hao wakiomba ishinde mchezo huo ili isalie kwenye ligi hiyo inayodhaminiwa na Vodacom msimu ujao.
Ndanda, walio na pointi 28, ipo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani