Tibaijuka ampigia magoti Magufuli
MGOMBEA ubunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka jana alilazimika kumpigia goti Dk Magufuli akiomba atakapochaguliwa, awezesha barabara inayotoka Muleba hadi Hospitali Teule ya Rubya, ijengwe kwa kiwango cha lami.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmnpwGOvDa-FtqRo-oTS7kGw*PntjIMwJzFg8zptIIXy6x-UU*n9J2weX55WwyJIwMdJi0kc4S*uze7fhuQ-IHl/okw.gif?width=650)
Okwi ampigia magoti Manji
10 years ago
GPLDAVINA AMPIGIA MAGOTI MAMA KANUMBA
9 years ago
Bongo524 Dec
Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-1-300x194.jpg)
Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.
Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.
“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ro7JjvJdCdM/VhZiH18bfHI/AAAAAAAH9y8/_NaO5xxm09g/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Mrema ampigia debe Dkt John Pombe Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-ro7JjvJdCdM/VhZiH18bfHI/AAAAAAAH9y8/_NaO5xxm09g/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3HvQBSZT9fk/VhZiLw9DunI/AAAAAAAH9zE/TB-r8DlbUIA/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4NIYUHog_-4/VhZiPP-y1fI/AAAAAAAH9zM/O7ipgvPRGkU/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania09 May
Ndanda waipigia magoti Yanga
NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
LIGI Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 inamalizika leo kwa timu 14 za ligi hiyo zitakapokuwa katika viwanjani tofauti, huku mabingwa wa ligi hiyo, timu ya Yanga wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara.
Yanga, walioondoka Dar es Salaam juzi, tayari wamewasili mkoani humo kuwavaa Ndanda katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, huku wenyeji hao wakiomba ishinde mchezo huo ili isalie kwenye ligi hiyo inayodhaminiwa na Vodacom msimu ujao.
Ndanda, walio na pointi 28, ipo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Mhagama awapigia magoti wafadhili
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Lema awapigia magoti Ulaya, Marekani
MGOMBEA wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema “
Paul Sarwatt