Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA AMPIGIA MAGOTI MAMA KANUMBA

Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Stori: Laurent Samatta
MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’, amesema anamuomba radhi mama wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa kwa kutofika kwenye uzinduzi wa kitabu cha marehemu mwanaye kutokana na taarifa hiyo kutomfikia mapema. Davina alikiri kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao walikuwa karibu sana na marehemu enzi za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Okwi ampigia magoti Manji

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mganda, Emmanuel Okwi, ameuomba msamaha uongozi wa timu hiyo na kuomba mwenyewe kurejea Jangwani. Hiyo ni baada ya kusikia taarifa za kupunguzwa kwa mkataba wake kutokea miaka miwili hadi mwaka mmoja kutokana na kushindwa kutimiza wajibu.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Tibaijuka ampigia magoti Magufuli

MGOMBEA ubunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka jana alilazimika kumpigia goti Dk Magufuli akiomba atakapochaguliwa, awezesha barabara inayotoka Muleba hadi Hospitali Teule ya Rubya, ijengwe kwa kiwango cha lami.

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo

Kiba

Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.

Kiba

Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.

“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!

KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.

Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?”...

 

10 years ago

Bongo Movies

MAMA KANUMBA: Skendo ya Kanumba iliyonitesa ni ya Ung'eng'e

Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa  ambaye kwasasa  ameingia kwenye tasnia ya filamu hapa nchini  amefunguka kuwa hakuna skendo ambayo ilimsononesha kama ile ya mwanaye huyo kuambiwa hajui Kiingereza .

Mama Kanumba alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalum na Mwandishi Wetu : “Eti Kanumba hajui Kiingereza , hili lilinishtua sana nikalipinga kwa nguvu zote sababu najua mwanangu hata shule alikuwa kichwa, ” alisema mama Kanumba .

Skendo ya kudaiwa kutozungumza Kiingereza...

 

10 years ago

Bongo5

Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba

Flora Mtegoa, Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba amesikitishwa na wasanii wa filamu pamoja wa wadau wa filamu kushindwa kwenda kumuunga mkono katika shughuli ya uzinduzi wa kitabu cha Kanumba ‘The Great Fallen Tree’, uliofanyika ndani ya ukumbi wa Landmark Hotel, Dar-es-salaam January 10. Akizungumza kwa majonzi kwenye Take One Show ya Clouds Tv, Mama […]

 

11 years ago

GPL

BABA KANUMBA: NITAMPELEKA MAMA KANUMBA SEGEREA

Stori: Mayasa Mariwata BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba anaonekana kuendelea kuwewesekea mali za mwanaye baada ya kuibuka na kudai kuwa, atampeleka Segerea (jela) mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kwa madai kuwa amezifuja mali za marehemu. Mama Kanumba, Flora Mtegoa. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kwa njia ya simu, baba Kanumba alisema, ameona taarifa kwenye gazeti kuwa mali nyingi za marehemu Kanumba zimeuzwa...

 

11 years ago

GPL

MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO

Stori: Mwandishi Wetu
ULE udugu wa ukubwani kati ya wazazi wa mastaa wa filamu Bongo, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ na  Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ umezidi kukua kufuatia kwenda Bukoba, Kagera kwa ajili ya kula kiapo cha kuimarisha undugu huo. Kutoka kushoto: Flora Mtegoa, Lulu na Lucresia Karugila katika pozi. Wazazi hao wawili walijikuta katika undugu kufuatia Elizabeth Michael...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani