Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema awapigia magoti Ulaya, Marekani

MGOMBEA wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema “

Paul Sarwatt

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mhagama awapigia magoti wafadhili

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amewataka wafadhili nchini kuendelea kuisaidia serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake katika sekta mbalimbali ili kujenga taifa bora. Mhagama alitoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kuongeza majeshi Ulaya

Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza mpango wa dola bilioni moja kufadhili nyongeza ya wanajeshi wake barani Ulaya huku mzozo wa Ukraine ukiendelea kutokota.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yalipiza kisasi kwa Marekani na Ulaya

Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa Muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine kadha za magharibi ambazo ziliiwkea vikwazo

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI

  Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitishwa kwa safari za ndege kutoka nchini humo hadi barani Ulaya kama mbinu ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkongo awapigia chapuo vibendera

MWAMUZI bora wa Ligi Kuu 2013/14, Israel Nkongo, amewataka wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, kuwatazama na waamuzi wasaidizi katika utoaji tuzo hizo....

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Trump azuia safari za kutoka Ulaya kuingia nchini Marekani

Safari za ndege isipokuwa za kutoka Uingereza pekee zitazuiwa kwa kipindi cha siku 30 , rais ameeleza.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sanamu zilizotukuza biashara ya utumwa Marekani na Ulaya zaharibiwa

Sanamu zimekuwa zikivunjwa na kuharibiwa, kama ishara ya kutaka kusahau ''dhulma'' za kihistoria.

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani