Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yalipiza kisasi kwa Marekani na Ulaya

Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa Muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine kadha za magharibi ambazo ziliiwkea vikwazo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yalipiza kisasi Liverpool

Arsenal iliilazaLiverpool mabao mawili kwa moja na kufuzu kushiriki katika robo fainali ya mchuano wa FA.

 

10 years ago

GPL

KENYA YALIPIZA KISASI, YASHAMBULIA MAKAZI YA AL-SHABAAB

Wanajeshi wa Kenya. Mpiganaji shambulio la Garrisa afahamika SERIKALI ya Kenya imesema mmoja ya wapiganaji waliohusika katika kushambulia Chuo Kikuu cha Garrisa nchini humo na kuwaua wanafunzi, wafanyakazi wa chuo na raia wengine huku wengine wakiachwa majeruhi, ametambulika kuwa ni mtoto wa ofisa wa serikali nchini Kenya. Msemaji wa Wizara ya… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jordan yalipiza kisasi cha rubani wake

Serikali ya Jordan imewauwa wapiganaji wawili wa kiislamu, waliokuwa wamezuiliwa korokoroni nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo la Marekani kwa Urusi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Warner alia Marekani inalipa kisasi

Jack Warner, ameituhumu Marekani kwa kufuatilia mashtaka dhidi ya maafisa wa FIFA kwakuwa imekosa wenyeji wa kombe la dunia 2022.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yaungana zaidi dhidi ya Urusi

Nchi za Ulaya zinasema zimeungana katika kuikabili nchi ya Urusi

 

11 years ago

Michuzi

marekani yaifunga Ghana 2-1 kulipiza kisasi cha kutolewa nayo mapema mwaka 2010 afrika kusini

 Kocha wa Marekani ambaye ni mshambuliaji nyota wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann na wachezaji wake wakishangilia bao la kwanza lililofungwa sekunde ya kwanza na Clint Dempsey pichani chini Goli la dakika ya kwanza lililowekwa kimiani na Clint Dempsey na lingine la dakika za lala salama la rizevu John Brooks katika mchezo  uliopigwa usiku uliopita mjini Natal, Brazil,  ni magoli ambayo yameiwezesha Marekani kulipiza kisasi dhidi ya Ghana waliowafunga 2-1 na kuwafungasha virago...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN

Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani