Urusi yalipiza kisasi kwa Marekani na Ulaya
Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa Muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine kadha za magharibi ambazo ziliiwkea vikwazo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Arsenal yalipiza kisasi Liverpool
Arsenal iliilazaLiverpool mabao mawili kwa moja na kufuzu kushiriki katika robo fainali ya mchuano wa FA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGusP3iYsHWk8KAK0S8EpDYxpITh993RD7fS9Pm4AF-63Y59UEdcXZB1NIL3czKZu0sHZXyOZDoUeTaKwona-CwYd/130923114646_kenya_soldiers_464x261_afp_nocredit.jpg?width=650)
KENYA YALIPIZA KISASI, YASHAMBULIA MAKAZI YA AL-SHABAAB
Wanajeshi wa Kenya. Mpiganaji shambulio la Garrisa afahamika SERIKALI ya Kenya imesema mmoja ya wapiganaji waliohusika katika kushambulia Chuo Kikuu cha Garrisa nchini humo na kuwaua wanafunzi, wafanyakazi wa chuo na raia wengine huku wengine wakiachwa majeruhi, ametambulika kuwa ni mtoto wa ofisa wa serikali nchini Kenya. Msemaji wa Wizara ya… ...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Jordan yalipiza kisasi cha rubani wake
Serikali ya Jordan imewauwa wapiganaji wawili wa kiislamu, waliokuwa wamezuiliwa korokoroni nchini humo
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Onyo la Marekani kwa Urusi
Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Jack Warner alia Marekani inalipa kisasi
Jack Warner, ameituhumu Marekani kwa kufuatilia mashtaka dhidi ya maafisa wa FIFA kwakuwa imekosa wenyeji wa kombe la dunia 2022.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Ulaya yaungana zaidi dhidi ya Urusi
Nchi za Ulaya zinasema zimeungana katika kuikabili nchi ya Urusi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zK0XWiXE0jI/U5_Vx5F0wwI/AAAAAAAFrJo/00UttiiyYrw/s72-c/article-2659528-1ED5507100000578-548_636x422.jpg)
marekani yaifunga Ghana 2-1 kulipiza kisasi cha kutolewa nayo mapema mwaka 2010 afrika kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-zK0XWiXE0jI/U5_Vx5F0wwI/AAAAAAAFrJo/00UttiiyYrw/s1600/article-2659528-1ED5507100000578-548_636x422.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p8o9V0D5n2E/U5_V45ejcjI/AAAAAAAFrJw/DYDuJXYpjEI/s1600/article-2659528-1ED4DAD600000578-452_634x413.jpg)
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Marekani yaishutumu Urusi
Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN
Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania