Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyo la Marekani kwa Urusi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine

Urusi imeionya Ukraine kuancha maandalizi yoyote ya kijesh katika majimbo yanayotaka kujitenga

 

10 years ago

GPL

KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI

Baadhi ya watu wanaounga mkono wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria. Kijana  raia wa Australia, Abdullah Elmir 'Abu Khaled' aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS wanaopigana nchini Iraq na Syria ameonekana kwenye kanda ya video. Katika kanda hiyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 anawahutubia waziri mkuu wa Australia Tony Abbot pamoja na Rais wa Marekani Barack Obama.… ...

 

10 years ago

GPL

WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yalipiza kisasi kwa Marekani na Ulaya

Urusi imetangaza marufuku ya vyakula kutoka kwa Muungano wa Ulaya, Marekani na nchi zingine kadha za magharibi ambazo ziliiwkea vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishambulia IS licha ya onyo

Majeshi ya Marekani wameendelea kuishambulia maeneo yanayokaliwa na kundi la Islamic State licha ya onyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yasusia mazungumzo na Urusi

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yazikosoa sera za Urusi

Waziri wa ulinzi wa Marekani,Ashton Carter, amezikosoa sera za Urusi kwa kutoheshimu sheria za kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN

Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani