Marekani yaishambulia IS licha ya onyo
Majeshi ya Marekani wameendelea kuishambulia maeneo yanayokaliwa na kundi la Islamic State licha ya onyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Onyo la Marekani kwa Urusi
Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa
11 years ago
GPL
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
Baadhi ya watu wanaounga mkono wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria. Kijana raia wa Australia, Abdullah Elmir 'Abu Khaled' aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS wanaopigana nchini Iraq na Syria ameonekana kwenye kanda ya video. Katika kanda hiyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 anawahutubia waziri mkuu wa Australia Tony Abbot pamoja na Rais wa Marekani Barack Obama.… ...
11 years ago
GPL
WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI
Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...
5 years ago
BBCSwahili31 May
Kifo cha George Floyd: Maandamano yafanyika miji tofauti Marekani licha tahadhari ya kutotoka nje kutangazwa.
Amri ya kutotoka nje imetangazwa katika miji kadhaa nchi Marekani, kukabiliana na ghasia zilizosababishwa na kilo cha mtu mweusi aliyekamatwa na polisi.
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.
10 years ago
Vijimambo16 Feb
Misri yaishambulia ISIS Libya




uu wa kanisa la Coptic Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri...
11 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ufaransa yaishambulia Islamic State Iraq
Rais wa ufaransa ametangaza kuwa ndege zao zimetekeleza mashambulizi ya kwanza dhidi ya Islamic State
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Wema:azomewa licha ya Kujieleza
Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram
11 years ago
BBCSwahili20 May
Tutanunua wachezaji licha ya vikwazo
Mabingwa Manchester City itanunua wachezaji licha ya faini ya UEFA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania