Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaishambulia IS licha ya onyo

Majeshi ya Marekani wameendelea kuishambulia maeneo yanayokaliwa na kundi la Islamic State licha ya onyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Onyo la Marekani kwa Urusi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa

 

11 years ago

GPL

KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI

Baadhi ya watu wanaounga mkono wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria. Kijana  raia wa Australia, Abdullah Elmir 'Abu Khaled' aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS wanaopigana nchini Iraq na Syria ameonekana kwenye kanda ya video. Katika kanda hiyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 anawahutubia waziri mkuu wa Australia Tony Abbot pamoja na Rais wa Marekani Barack Obama.… ...

 

11 years ago

GPL

WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Maandamano yafanyika miji tofauti Marekani licha tahadhari ya kutotoka nje kutangazwa.

Amri ya kutotoka nje imetangazwa katika miji kadhaa nchi Marekani, kukabiliana na ghasia zilizosababishwa na kilo cha mtu mweusi aliyekamatwa na polisi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani

Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.

 

10 years ago

Vijimambo

Misri yaishambulia ISIS Libya

Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri akiwafariji wakuu wa Kanisa la CopticNdege za kijeshi baada ya kutekeleza mashambulizi LibyaWaumini wa kanisa la Coptic wakiandamana nje ya mojawepo ya makani yao MisriJamaa ya marehemu wakiomboleza
uu wa kanisa la Coptic Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yaishambulia Islamic State Iraq

Rais wa ufaransa ametangaza kuwa ndege zao zimetekeleza mashambulizi ya kwanza dhidi ya Islamic State

 

10 years ago

BBCSwahili

Wema:azomewa licha ya Kujieleza

Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutanunua wachezaji licha ya vikwazo

Mabingwa Manchester City itanunua wachezaji licha ya faini ya UEFA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani