WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Feb
Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya
Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.
Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Onyo la Marekani kwa Urusi
11 years ago
GPL
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
10 years ago
Africanjam.Com
BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI

Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...
10 years ago
GPL
INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA
11 years ago
Michuzi
TRA NA JESHI LA POLISI WATOA ONYO

11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Obama atetea Marekani kushambulia ISIS
11 years ago
BBCSwahili16 Aug
Marekani yawashambulia wapiganaji Iraq
11 years ago
BBCSwahili17 Aug
Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq