INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA

Mateka Ziad Abdel’al Abu Tarek akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na Kundi la ISIS. VIDEO iliyotolewa na Kundi la Wapiganaji wa ISIS hivi karibuni inamuoyesha mateka anayedaiwa kuwa mpelelezi wa Syria akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na wapiganaji wa kundi hilo. Mateka huyo anaonekana akichimba kaburi lake akiwa amevaa mavazi ya njano kabla ya kuchinjwa katika maeneo ya jangwani.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ISIS WAMWUA MFUNGWA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI LAKE
10 years ago
GPL
ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN
11 years ago
GPL
WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI
10 years ago
Habarileo02 Aug
Ajitengenezea msalaba, kaburi kabla ya kifo
MCHORAJI maarufu katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi, Gilbert Paul (38), ambaye alishaanza kujiandalia maziko kwa zaidi ya miaka 15 sasa akiwa hai buheri wa afya, anatarajia kuanza kujichimbia kaburi miezi mitatu ijayo, ili liwe tayari kuhifadhi mwili wake mara mauti yatakapomfika.
11 years ago
BBCSwahili03 Sep
Video ya kuchinjwa Sotloff ni hakika
10 years ago
GPL
MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE
11 years ago
GPL
AKATIKA MKONO, WAUNGANISHWA KWENYE KIFUNDO CHA MGUU KABLA YA KURUDISHWA ENEO LAKE