Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA

Mateka Ziad Abdel’al Abu Tarek akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na Kundi la ISIS. VIDEO iliyotolewa na Kundi la Wapiganaji wa ISIS hivi karibuni inamuoyesha mateka anayedaiwa kuwa mpelelezi wa Syria akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na wapiganaji wa kundi hilo. Mateka huyo anaonekana akichimba kaburi lake akiwa amevaa mavazi ya njano kabla ya kuchinjwa katika maeneo ya jangwani.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ISIS WAMWUA MFUNGWA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI LAKE

Mpiganaji wa ISIS akijitarisha kumpiga risasi mfungwa baada ya kujichimbia kaburi lake. Mfungwa akichimba kaburi lake. ...Akiwa amepewa fursa ya kuongea na watu awatakao.…

 

10 years ago

GPL

ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN

Video ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao. Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan.…

 

11 years ago

GPL

WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...

 

10 years ago

Habarileo

Ajitengenezea msalaba, kaburi kabla ya kifo

MCHORAJI maarufu katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi, Gilbert Paul (38), ambaye alishaanza kujiandalia maziko kwa zaidi ya miaka 15 sasa akiwa hai buheri wa afya, anatarajia kuanza kujichimbia kaburi miezi mitatu ijayo, ili liwe tayari kuhifadhi mwili wake mara mauti yatakapomfika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Video ya kuchinjwa Sotloff ni hakika

Marekani imethibitisha kuwa picha ya video inayoonyesha kuchinjwa kwa mwandishi wake Steven Sotloff ni ya kweli.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE AZIKWA, ARUNDIKIWA VYOMBO JUU YA KABURI LAKE

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Wahenga walisema ukisitajabu ya Musa utaona ya Farao, hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wananchi wa mji wa Bariadi mkoani Shinyanga waliofurika katika kaburi la marehemu, Jesca Onesmo (28), ambaye alifariki kisha kuwekewa samani na vyombo vyake mbalimbali juu ya kaburi lake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1HFnwET

 

11 years ago

GPL

AKATIKA MKONO, WAUNGANISHWA KWENYE KIFUNDO CHA MGUU KABLA YA KURUDISHWA ENEO LAKE

Madaktari wakiwa wameunganisha mkono wa Xiao kwenye kifundo cha mguu wakisubiri apone majeraha mengine ili waurudishe eneo lake. Madaktari wakiuangalia mkono wa Xiao Wei kabla ya kumfanyia oparesheni kuurudisha eneo lake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani