ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN
![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7Z3xt2JPZ3NLgO48QV*um7sQ-dqpoZqaq9i7ga8-Y6jsh7lNzY-0wAXUpTiROkO02a4AXgvzwSUGvMqnvvQIkr0/24DC2BDD000005782917804imagem17_1421737817694.jpg)
Video ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao. Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Dola za Marekani Milioni 132 kutumika katika mradi mkubwa wa umeme wa upepo wa Megawati 50 Singida,Kutoa ajira 2,200
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WkSghGCcmx8/VP03l5xn1uI/AAAAAAAHIxw/telmypXDlFQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbhs2JBaFWu-uWafdqJ1ZMSGZMAZ5fL9HddPcr9IlYOVIUhWZSi9xyhl3cMzL3zJ-Xx1WxwW3FNqA9ADjZE6YziW/1.jpg)
INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA
Mateka Ziad Abdel’al Abu Tarek akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na Kundi la ISIS. VIDEO iliyotolewa na Kundi la Wapiganaji wa ISIS hivi karibuni inamuoyesha mateka anayedaiwa kuwa mpelelezi wa Syria akijichimbia kaburi lake kabla ya kuchinjwa na wapiganaji wa kundi hilo. Mateka huyo anaonekana akichimba kaburi lake akiwa amevaa mavazi ya njano kabla ya kuchinjwa katika maeneo ya jangwani.… ...
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
IS yamuua mateka mwengine wa Japan
Japan imelishtumu kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka Kenjo Goto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV21RV-AVGbuWDZVjkl2S8OUbkCypDuBMeJmY-CZxyF2xxAgHXEk8ik2UrmwioW5Q4Xq9OrIo0Z*EfBShAU*2oln/goto4.jpg)
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
Kenji Goto aliyeuawa kwa kuchinjwa na IS. Kenji Goto akiwa kapiga magoti kabla ya kuchinjwa. Wazazi wa Kenji Goto, Yukio na Junko…
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Japan yalaani kanda kuhusu mateka
Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao
Japan inachunguza sauti iliyorekodiwa inawezakana ni ya mwandishi wa habari wa Japan aliyeshikiliwa mateka na Islamic state.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
Rais wa Marekani amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na IS
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124173701_japan_is_hostage_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-I9_vX4EJJhQ/Vkc_0ip8EPI/AAAAAAAAD7s/ef8YjqGD1WU/s72-c/AP583080687374.jpg)
PARIS ATTACKS: 127 DEAD, 200 INJURED, ISIS CLAIMS RESPONSIBILITY
![](http://1.bp.blogspot.com/-I9_vX4EJJhQ/Vkc_0ip8EPI/AAAAAAAAD7s/ef8YjqGD1WU/s640/AP583080687374.jpg)
PARIS — French President Francois Hollande vowed a "merciless" response to the deadliest attacks on the country's soil since World War II as ISIS claimed responsibility Saturday for a coordinated assault on Paris.
A state of emergency was declared and France deployed 1,500 troops after a near-simultaneous series of explosions and shootings brought the city to a horrified standstill overnight. The death toll rose to 127 and 200 other people were wounded, officials said.
French police were...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania