Japan yalaani kanda kuhusu mateka
Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
IS yamuua mateka mwengine wa Japan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV21RV-AVGbuWDZVjkl2S8OUbkCypDuBMeJmY-CZxyF2xxAgHXEk8ik2UrmwioW5Q4Xq9OrIo0Z*EfBShAU*2oln/goto4.jpg)
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124173701_japan_is_hostage_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/--7I7DwO3mo/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7Z3xt2JPZ3NLgO48QV*um7sQ-dqpoZqaq9i7ga8-Y6jsh7lNzY-0wAXUpTiROkO02a4AXgvzwSUGvMqnvvQIkr0/24DC2BDD000005782917804imagem17_1421737817694.jpg)
ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Marekani yalaani ICC kuhusu Israel
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Kilichojiri Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kuhusu mwili Mawazo wa Chadema!
Jana Novemba 26,2015 Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza ilitengua zuio la Jeshi la Polisi Mkoani hapa la kuzuia ibada ya mazishi ya kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoani Geita Alphonce Mawazo alieuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana Novemba 14 mwaka huu Mkoani humo.
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA BINAGI RADIO-HABARI JUU YA HABARI HIYO.