Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan yalaani kanda kuhusu mateka

Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

IS yamuua mateka mwengine wa Japan

Japan imelishtumu kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka Kenjo Goto.

 

10 years ago

GPL

IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN

Kenji Goto aliyeuawa kwa kuchinjwa na IS. Kenji Goto akiwa kapiga magoti kabla ya kuchinjwa. Wazazi wa Kenji Goto, Yukio na Junko…

 

10 years ago

Vijimambo

Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan

Japan Hostages
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.

Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja

Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.

Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama alaani mauji ya mateka wa Japan

Rais wa Marekani amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao

Japan inachunguza sauti iliyorekodiwa inawezakana ni ya mwandishi wa habari wa Japan aliyeshikiliwa mateka na Islamic state.

 

10 years ago

GPL

ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN

Video ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao. Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani ICC kuhusu Israel

Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel

 

9 years ago

Dewji Blog

Kilichojiri Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kuhusu mwili Mawazo wa Chadema!


Jana Novemba 26,2015 Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza ilitengua zuio la Jeshi la Polisi Mkoani hapa la kuzuia ibada ya mazishi ya kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoani Geita Alphonce Mawazo alieuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana Novemba 14 mwaka huu Mkoani humo.
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA BINAGI RADIO-HABARI JUU YA HABARI HIYO.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani