Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YALAANI MAUAJI YA ALBINO KANDA YA ZIWA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tasuba, Tucteda wanavyotumia sanaa shirikishi kupambana na mauaji ya albino Kanda ya Ziwa

TAASISI ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (Tasuba), kwa kushirikiana na Mradi wa Sanaa kwa Maendeleo ya Jamii (Tucteda), chini ya ufadhili wa Swedish Institute, hivi karibuni waliendesha mafunzo kwa jamii...

 

11 years ago

Habarileo

UTSS yalaani mauaji ya albino Simiyu

SHIRIKA linalotetea haki za watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) la Under The Same Sun (UTSS), limelaani vikali mauaji ya kikatili yaliyotokea mkoani Simiyu.

 

9 years ago

Mtanzania

Miss Albino kusakwa Kanda ya Ziwa

MISS-ALBINO1NA GEORGE KAYALA

BAADA ya kupatikana washindi wa Miss Albino Kanda ya Mashariki na Kaskazini, kwa sasa shindano hilo linatarajiwa kufanyika Kanda ya Ziwa mwishoni mwa mwezi ujao jijini Mwanza ikiwa ni harakati za kuendelea kumsaka Miss Albino Tanzania 2016.

Mratibu wa shindano hilo, Alexander Matowo, aliliambia MTANZANIA jana kuwa maandalizi kwa ajili ya kumpata mshindi huyo yanaendelea ambapo tarehe na ukumbi vitawekwa wazi mwishoni mwa wiki hii.

Washindi waliopatikana hadi sasa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Albino mwingine atekwa Kanda ya Ziwa

>Mtoto mwingine mwenye ulemavu wa ngozi (albino) ametekwa mkoani Geita, likiwa ni tukio la pili ndani ya kipindi kisichozidi siku 50.

 

10 years ago

Michuzi

MSAMA PROMOTIONS LTD YAMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, YALAANI MAUAJI YA ALBINO YANAYOENDELEA NCHINI

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.
Msama amekabidhi misaada hiyo kwa vituo vitano...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yalaani mauaji ya wafugaji na wakulima yanayoendelea nchini

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelaani mauaji ya wakulima na wafugaji yanayoendelea kutokea katika wilaya za Kiteto na Kongwa na kutaka Serikali ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji hayo.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM, Chadema hapatoshi Kanda ya Ziwa

HEKAHEKA za kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi katika Kanda ya Ziwa ambapo mchuano

Christopher Gamaina

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan yalaani kanda kuhusu mateka

Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mauaji Burundi

Baraza la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kulaani mauaji nchini Burundi na kutaka kupelekwa kwa kikosi cha kulinda amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani