Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
Japan Hostages
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
11 years ago
BBCSwahili03 Sep
Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
IS yamuua mateka mwengine wa Japan
10 years ago
GPL
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
10 years ago
Mtanzania03 Mar
JK alaani mauaji ya albino
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amesema anasikitishwa na kitendo kilichoibuka upya cha mauaji ya albino baada ya hali kuwa tulivu mwaka 2011.
Amesema kutokana na hali hiyo amekubali kukutana na viongozi wa Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino), ili kuweza kusikiliza maoni yao juu ya namna bora ya kumaliza tatizo hilo.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, ambapo alisema ni lazima jamii ilaani vikali mauaji dhidi ya...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Obama alaani utamaduni wa ghasia za bunduki
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Japan yalaani kanda kuhusu mateka
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Buhari alaani mauaji ya Boko Haram