Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi
Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine Mmarekani na kundi la Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan

Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Rais Obama akerwa na mauaji Marekani
10 years ago
Mtanzania03 Mar
JK alaani mauaji ya albino
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amesema anasikitishwa na kitendo kilichoibuka upya cha mauaji ya albino baada ya hali kuwa tulivu mwaka 2011.
Amesema kutokana na hali hiyo amekubali kukutana na viongozi wa Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino), ili kuweza kusikiliza maoni yao juu ya namna bora ya kumaliza tatizo hilo.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, ambapo alisema ni lazima jamii ilaani vikali mauaji dhidi ya...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Obama alaani utamaduni wa ghasia za bunduki
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)
Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]
The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Buhari alaani mauaji ya Boko Haram
11 years ago
GPL
MICHELLE OBAMA NAYE ALAANI UTEKAJI WASICHANA NIGERIA
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Jaji  Bomani Alaani  Mauaji na Ukatili kwa Wakulima na Wafugaji
Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).
…Akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakichukua matukio katika hafla hiyo.
MWANASHERIA Mkuu Mstafu wa Serikali, Jaji Mark Bomani amelaani vitendo vya mauaji dhidi ya watu na mifugo.
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Jaji Bomani amesema kuwa hivi karibuni kumejitokeza wimbi la vikundi vya watu vinavyofanya vitendo vya ukatili hususani upande wa wafugaji na wakulima kugombania mashamba na hatimaye kuuana...