Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Obama atokwa na machozi akizungumzia silaha

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

 

11 years ago

Bongo5

New Music Video: Hussein Machozi aachia video mpya ya ‘Harusi’ baada ya mkasa wa kudaiwa kufumaniwa Kenya

Hit maker wa ‘Kwaajili yako’ Hussein Rashid aka Hussein Machozi ameachia video na wimbo mpya ikiwa ni zaidi ya wiki moja imepita toka atawale vichwa vya habari katika vyombo vingi vya habari vya Kenya na baadae kuhamia Tanzania. Habari hizo zilizomuhusu nyota huyo ambaye kwa sasa anafanya muziki wake nchini Kenya zilidai kuwa alifumaniwa na […]

 

10 years ago

Bongo5

Macklemore aeleza kuumizwa baada ya kusitishwa kwa tamasha la TribeOne, Afrika Kusini

Rapper wa Marekani, Macklemore ametumia mtandao wa Facebook kueleza kusikitishwa kwake kutokana na kusitishwa kwa tamasha la TribeOne lililokuwa lifanyike wiki ijayo nchini Afrika Kusini. Waandaji wa tamasha hilo la siku tatu, Alhamis hii walitangaza kusitishwa kwake kwa madai kuwa maandalizi yake yamechelewa na hivyo wasingeweza kufanya tamasha walilokuwa wamedhamiria. Tamasha hilo lilitarajiwa kuwa kubwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi

Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine Mmarekani na kundi la Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama akerwa na mauaji Marekani

Rais Barack Obama amesema mauaji kwa misingi ya ubaguzi wa rangi ni kitisho kwa demokrasia ya Marekani

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atokwa na machozi akihutubu

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Kutodhibiti silaha kumenisononesha

Katika mahojiano maaluma na BBC , Rais wa Marekani Barack Obama amesema kushindwa kudhibiti silaha nchini mwake ni jambo lililomsononesha katika utawala wake nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama aweka mikakati ya silaha Marekani

Rais Obama amebainisha wazi mipango yake juu ya kuweka mikakati thabiti dhidi ya udhibiti silaha za moto nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama akaza masharti kuhusu silaha

Rais wa Marekani Barack Obama anapanga kukaza masharti ya wauzaji wa bunduki kuchunguza historia ya wanunuzi kabla ya kuwauzia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani