Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama:Kutodhibiti silaha kumenisononesha

Katika mahojiano maaluma na BBC , Rais wa Marekani Barack Obama amesema kushindwa kudhibiti silaha nchini mwake ni jambo lililomsononesha katika utawala wake nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Obama aweka mikakati ya silaha Marekani

Rais Obama amebainisha wazi mipango yake juu ya kuweka mikakati thabiti dhidi ya udhibiti silaha za moto nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atokwa na machozi akizungumzia silaha

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama akaza masharti kuhusu silaha

Rais wa Marekani Barack Obama anapanga kukaza masharti ya wauzaji wa bunduki kuchunguza historia ya wanunuzi kabla ya kuwauzia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama kutangaza kudhibiti silaha Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama amesema ana matumaini kuwa mpango wake binafsi wa kudhibiti silaha nchini Marekani ni wa kikatiba.

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dunia yalaumiwa kutodhibiti Ebola

Shirika la madaktari wasio na mipaka wameilaumu dunia kwa kuchelewa kuchukua hatua dhidi ya Ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani