Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama aweka mikakati ya silaha Marekani

Rais Obama amebainisha wazi mipango yake juu ya kuweka mikakati thabiti dhidi ya udhibiti silaha za moto nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Obama kutangaza kudhibiti silaha Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama amesema ana matumaini kuwa mpango wake binafsi wa kudhibiti silaha nchini Marekani ni wa kikatiba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Kutodhibiti silaha kumenisononesha

Katika mahojiano maaluma na BBC , Rais wa Marekani Barack Obama amesema kushindwa kudhibiti silaha nchini mwake ni jambo lililomsononesha katika utawala wake nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama akaza masharti kuhusu silaha

Rais wa Marekani Barack Obama anapanga kukaza masharti ya wauzaji wa bunduki kuchunguza historia ya wanunuzi kabla ya kuwauzia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atokwa na machozi akizungumzia silaha

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na mikakati kukabili machafuko

Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden amefungua mkutano wa siku tatu mjini Washington kupambana na kukithiri kwa machafuko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawadondoshea wakurdi silaha

Ndege za kijeshi za Marekani zimedondosha silaha kwa wapiganaji wa kikurdi wanaolinda mji wa Kobane kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani