Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama akaza masharti kuhusu silaha

Rais wa Marekani Barack Obama anapanga kukaza masharti ya wauzaji wa bunduki kuchunguza historia ya wanunuzi kabla ya kuwauzia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Kutodhibiti silaha kumenisononesha

Katika mahojiano maaluma na BBC , Rais wa Marekani Barack Obama amesema kushindwa kudhibiti silaha nchini mwake ni jambo lililomsononesha katika utawala wake nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atokwa na machozi akizungumzia silaha

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama aweka mikakati ya silaha Marekani

Rais Obama amebainisha wazi mipango yake juu ya kuweka mikakati thabiti dhidi ya udhibiti silaha za moto nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama kutangaza kudhibiti silaha Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama amesema ana matumaini kuwa mpango wake binafsi wa kudhibiti silaha nchini Marekani ni wa kikatiba.

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Masharti kuhusu fedha za Jamhuri ya Muungano

Katika Muundo wa Shirikisho, Benki Kuu ya Jamhuri ya Muungano ni moja Mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba unaendelea huku kamati karibu zote zikiwa zimekamilisha mijadala.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu Pengo akaza uzi

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali PengoASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema msimamo wake kuhusu Katiba Inayopendekezwa uko pale pale na ametaka wanaoamini alichosema, wasambaze ujumbe wake kwa wengine.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama awasiliana na Putin kuhusu Ukraine

Rais Obama ametoa mapendekezo ya ya kusuluhisha mgogoro wa Ukraine kwa njia ya kidiplomasia ikiwemo Urusi kuwaondoa wanajeshi wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani