Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK alaani mauaji ya albino

jakayaNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amesema anasikitishwa na kitendo kilichoibuka upya cha mauaji ya albino baada ya hali kuwa tulivu mwaka 2011.
Amesema kutokana na hali hiyo amekubali kukutana na viongozi wa Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino), ili kuweza kusikiliza maoni yao juu ya namna bora ya kumaliza tatizo hilo.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, ambapo alisema ni lazima jamii ilaani vikali mauaji dhidi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani mauaji ya Albino yanayoendelea nchini

1

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.

Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi

Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine Mmarekani na kundi la Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari alaani mauaji ya Boko Haram

Rais wa Nigeria ametaja mauaji ya watu 150 kama ukatili na ukiukwaji wa kibinadamu.

 

10 years ago

Vijimambo

Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan

Japan Hostages
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.

Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja

Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.

Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Jaji  Bomani Alaani  Mauaji na Ukatili kwa Wakulima na Wafugaji

 

1.Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).2.Mwanasheria mstaafu wa  serikali, Jaji Mack Bomani akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wanahabari (pichani hawapo).…Akitoa ufafanuzi wa jambo.3.Wanahabari wakichukua tukio hilo.Wanahabari wakichukua matukio katika hafla hiyo.

MWANASHERIA  Mkuu  Mstafu wa Serikali, Jaji Mark Bomani amelaani vitendo vya mauaji dhidi ya watu  na mifugo.

Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Jaji Bomani amesema kuwa hivi karibuni kumejitokeza wimbi la vikundi vya watu vinavyofanya vitendo vya ukatili hususani upande wa wafugaji na wakulima kugombania mashamba na hatimaye kuuana...

 

10 years ago

Mwananchi

MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa

>Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusaini hukumu ya kunyongwa hadi kufa inayowakabili watu wanne waliopatikana na hatia ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

MAUAJI YA ALBINO


 Wapiga ramli 225  wanaswa na polisi
NA MWANDISHI WETU
JUHUDI za kukomesha matukio ya kihalifu ya kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’, zimeanza kuzaa matunda baada ya Jeshi la Polisi kuwashikilia wapiga ramli 225.
Kushikiliwa kwa wapiga ramli hao kunatokana na operesheni inayoendeshwa na polisi ya kupambana na vitendo vya kikatili ili kuhakikisha matukio hayo hayaendelei kutokea.
Taarifa iliyotolewa jana mjini Dar es Salaam na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, ilisema wapiga...

 

10 years ago

Vijimambo

Kongamano la mauaji ya albino

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Al-Shaymaa Kwegyir, akizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki hawapo pichanai, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki. Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Al-Shaymaa Kwegyir, katikati akiwa kwenye kongamano la wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani