Obama alaani utamaduni wa ghasia za bunduki
Obama amesema hali hii imetosha sasa nchini humo na kuwa lazima wananchi wachukue hatua kuhakikisha kuwa watu hawapati bunduki kwa urahisi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124173701_japan_is_hostage_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiPFXMJknd69yP35KHwRdTj0EnqDFME6jhtgpW3*znNWap0-Hpx4KY5bPUj3MaQg-P5bR*jw31rGgnBsb-Oqw0m/MRSOBAMA.jpg)
MICHELLE OBAMA NAYE ALAANI UTEKAJI WASICHANA NIGERIA
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
10 years ago
Mtanzania03 Mar
JK alaani mauaji ya albino
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amesema anasikitishwa na kitendo kilichoibuka upya cha mauaji ya albino baada ya hali kuwa tulivu mwaka 2011.
Amesema kutokana na hali hiyo amekubali kukutana na viongozi wa Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino), ili kuweza kusikiliza maoni yao juu ya namna bora ya kumaliza tatizo hilo.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, ambapo alisema ni lazima jamii ilaani vikali mauaji dhidi ya...
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Zwelithini alaani mashambulio AK
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/20/150420111654_goodwill_zwelithini_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Goodwill Zwelithini, Mflame wa Zulu
Mfalme wa kabila la Zulu, Goodwill Zwelithini, ameelezea kama jambo la aibu mashambulio dhidi ya raia wa mataifa mengine yanayofanyika nchini Afrika Kusini, ambayo tayari yamesababisha vifo vya watu saba.Mwaandishi habari wa BBC mjini Durban mahala ambapo mfalme huyo alitoa matamshi hayo anasema kuwa hata ingawa anakanusha kuwa amenukuliwa visivyo, matamshi yake dhidi ya raia wa kigeni imesababisha athari mbaya.
Amesema kuwa umma uliwapigia kelele mabalozi...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Machali alaani uamuzi wa kamati
11 years ago
Habarileo09 May
Alaani utekaji wasichana Nigeria
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.