Zwelithini alaani mashambulio AK
Goodwill Zwelithini, Mflame wa Zulu
Mfalme wa kabila la Zulu, Goodwill Zwelithini, ameelezea kama jambo la aibu mashambulio dhidi ya raia wa mataifa mengine yanayofanyika nchini Afrika Kusini, ambayo tayari yamesababisha vifo vya watu saba.Mwaandishi habari wa BBC mjini Durban mahala ambapo mfalme huyo alitoa matamshi hayo anasema kuwa hata ingawa anakanusha kuwa amenukuliwa visivyo, matamshi yake dhidi ya raia wa kigeni imesababisha athari mbaya.
Amesema kuwa umma uliwapigia kelele mabalozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
EU kupambana na mashambulio ya kigaidi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSvE*LCk0WjK9DrqR9zxtK3NJzSJMRDoFvM94ULo7agwDbeDQH1l7fmFc1j8XYl-oMLjuQkjXMbXY1dtErSOaKg/kenya.jpg?width=650)
MASHAMBULIO YAUA 30 KENYA
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Mashambulio mabaya Misri
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Israel-Hamas wazidisha mashambulio
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wengi wauawa mashambulio Paris
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu