Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHAMBULIO YAUA 30 KENYA

Magari yaliyochomwa katika shambulio la Mpeketoni, Juni mwaka huu. WATU 30 wamepoteza maisha katika mashambulio mawili tofauti huko Pwani ya Kenya karibu na mpaka wa Somali. Wizara ya maswala ya ndani nchini Kenya imethibitisha kutokea tukio hilo. Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya Tanariver huku wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi katika kituo kimoja cha kibiashara kaunti ya Lamu karibu na mpaka wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulio Paris: Kenya na Uganda zaimarisha usalama

Uganda na Kenya zimeimarisha usalama kufuatia mashambulio yaliyotekelezwa mjini Paris mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA

Ndege ya mizigo baada ya kuanguka. WATU wanne akiwemo rubani wa ndege wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka leo alfajiri katika eneo la Utawala-Embakasi jijini Nairobi, Kenya. Ndege hiyo ya mizigo iliyokuwa inaelekea Mogadishu nchini Somalia imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi. Kwa mjibu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya, mwili wa mtu...

 

10 years ago

Vijimambo

Zwelithini alaani mashambulio AK




Goodwill Zwelithini, Mflame wa Zulu
Mfalme wa kabila la Zulu, Goodwill Zwelithini, ameelezea kama jambo la aibu mashambulio dhidi ya raia wa mataifa mengine yanayofanyika nchini Afrika Kusini, ambayo tayari yamesababisha vifo vya watu saba.Mwaandishi habari wa BBC mjini Durban mahala ambapo mfalme huyo alitoa matamshi hayo anasema kuwa hata ingawa anakanusha kuwa amenukuliwa visivyo, matamshi yake dhidi ya raia wa kigeni imesababisha athari mbaya.
Amesema kuwa umma uliwapigia kelele mabalozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulio mabaya Misri

Misururu ya mashambulio yamefanyika Rasi ya Sinai, wanajeshi na wapiganaji kadhaa wameuawa

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na mashambulio ya kigaidi

EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel-Hamas wazidisha mashambulio

Wanamgambo wa Kipalestina wajibu mashambulio ya Israel katika maeneo ya Gaza mapema Jumatano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wengi wauawa mashambulio Paris

Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 40 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40

Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu

Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani