EU kupambana na mashambulio ya kigaidi
EU yaungana na nchi ulimwenguni kukabiliana na wapiganaji wa dola ya kiislam.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSvE*LCk0WjK9DrqR9zxtK3NJzSJMRDoFvM94ULo7agwDbeDQH1l7fmFc1j8XYl-oMLjuQkjXMbXY1dtErSOaKg/kenya.jpg?width=650)
MASHAMBULIO YAUA 30 KENYA
Magari yaliyochomwa katika shambulio la Mpeketoni, Juni mwaka huu. WATU 30 wamepoteza maisha katika mashambulio mawili tofauti huko Pwani ya Kenya karibu na mpaka wa Somali. Wizara ya maswala ya ndani nchini Kenya imethibitisha kutokea tukio hilo. Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya Tanariver huku wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi katika kituo kimoja cha kibiashara kaunti ya Lamu karibu na mpaka wa...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Mashambulio mabaya Misri
Misururu ya mashambulio yamefanyika Rasi ya Sinai, wanajeshi na wapiganaji kadhaa wameuawa
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Zwelithini alaani mashambulio AK
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/20/150420111654_goodwill_zwelithini_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Goodwill Zwelithini, Mflame wa Zulu
Mfalme wa kabila la Zulu, Goodwill Zwelithini, ameelezea kama jambo la aibu mashambulio dhidi ya raia wa mataifa mengine yanayofanyika nchini Afrika Kusini, ambayo tayari yamesababisha vifo vya watu saba.Mwaandishi habari wa BBC mjini Durban mahala ambapo mfalme huyo alitoa matamshi hayo anasema kuwa hata ingawa anakanusha kuwa amenukuliwa visivyo, matamshi yake dhidi ya raia wa kigeni imesababisha athari mbaya.
Amesema kuwa umma uliwapigia kelele mabalozi...
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wengi wauawa mashambulio Paris
Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 40 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Mashambulio Maiduguri yauwa watu 40
Mashambulio ya kujitolea mhanga yatikisa mji wa Maiduguri kaskazini-mashariki mwa Nigeria na kuuwa wengi
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Israel-Hamas wazidisha mashambulio
Wanamgambo wa Kipalestina wajibu mashambulio ya Israel katika maeneo ya Gaza mapema Jumatano.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi
Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania