Wengi wauawa mashambulio Paris
Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 40 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mashambulio Paris: Kenya na Uganda zaimarisha usalama
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4sF0O2B5G*wJD2MqDzLB4ua94zj1QIxmpa1M77pQXrlYfIAYseA6VjTf53jUQyTUo8vOd*EbutLe2DBgMumsPh/A.jpg)
OFISI ZA MAGAZETI YA VIKATUNI PARIS ZASHAMBULIWA, 12 WAUAWA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
9 years ago
Bongo514 Nov
Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa
![2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193-300x194.jpg)
Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.
Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.
Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.
Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Wapalestina wengi wauawa Gaza
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Zwelithini alaani mashambulio AK
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/20/150420111654_goodwill_zwelithini_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Goodwill Zwelithini, Mflame wa Zulu
Mfalme wa kabila la Zulu, Goodwill Zwelithini, ameelezea kama jambo la aibu mashambulio dhidi ya raia wa mataifa mengine yanayofanyika nchini Afrika Kusini, ambayo tayari yamesababisha vifo vya watu saba.Mwaandishi habari wa BBC mjini Durban mahala ambapo mfalme huyo alitoa matamshi hayo anasema kuwa hata ingawa anakanusha kuwa amenukuliwa visivyo, matamshi yake dhidi ya raia wa kigeni imesababisha athari mbaya.
Amesema kuwa umma uliwapigia kelele mabalozi...