Wapalestina wengi wauawa Gaza
Kumetokea vifo vingi katika eneo la Gaza kwa siku moja tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Wapalestina sita wauawa Gaza
Wapelina wapatao sita wameuawa katika mashambulizi ya mabomu yaliyofanywa na Israel katika eneo la Gaza.
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Wapalestina wakimbia Gaza kaskazini
Umoja wa Mataifa wasema baadhi ya Wapalestina wahama Gaza kaskazini wakiogopa mashambulio yajayo yatayowalenga wao
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
172:Idadi ya wapalestina waliouawa Gaza
Mashambulizi ya angani yanayofanywa na Israel katika eneo la Gaza yameendelea huku oparesheni ya Isreal dhidi ya wapiganaji wa kipalestina ikiingia siku yake ya 7.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Wapalestina 2 wauawa na Waisraeli
Maafisa wa afya wa Palestina wanasema wapalestina wawili wameuawa baada ya vikosi vya Israeli kufyatua risasi katika ukingo wa Magharibi.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Wapalestina 2 wauawa,wanajeshi 4 wajeruhiwa
Wapalestina 2 wameuawa baada ya mashambulizi ya magari ambapo wanajeshi 4 Waisraeli walijeruhiwa.
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Wapiganaji wa kipalestina wauawa Gaza
Wanamgambo tisa wa kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya angani yaliyofanywa na Israel katika ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
UN:Waliokufa Gaza wengi ni raia
Umoja wa Mataifa umesema robo tatu ya Wapalestina waliouawa kwa mashambulizi yanayofanywa na Israel huko Gaza ni raia.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
20 wauawa katika shambulio la anga, Gaza
Mashambulio ya anga yaliyofanywa na Israel yamewaua zaidi ya watu 20 katika eneo la Gaza, wakiwemo raia.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Gaza:Watu 100 wauawa katika mashambulizi
Idadi ya watu waliofariki katika mashambulizi yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, katika siku nne zilizopita, imefika 100
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania