Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


172:Idadi ya wapalestina waliouawa Gaza

Mashambulizi ya angani yanayofanywa na Israel katika eneo la Gaza yameendelea huku oparesheni ya Isreal dhidi ya wapiganaji wa kipalestina ikiingia siku yake ya 7.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wapalestina wakimbia Gaza kaskazini

Umoja wa Mataifa wasema baadhi ya Wapalestina wahama Gaza kaskazini wakiogopa mashambulio yajayo yatayowalenga wao

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapalestina sita wauawa Gaza

Wapelina wapatao sita wameuawa katika mashambulizi ya mabomu yaliyofanywa na Israel katika eneo la Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapalestina wengi wauawa Gaza

Kumetokea vifo vingi katika eneo la Gaza kwa siku moja tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina.

 

10 years ago

StarTV

Idadi ya waliouawa Pakistan yafika 130.

Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinakabiliwa na hali ngumu kuweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan

Takriban watu miamoja na thelathini wamefariki , wengi wao wakiwa watoto.

Msemaji wa jeshi anasema washukiwa sita wameuawa huku operesheni hio ikiendelea.

Shule hio inasimamiwa na jeshi na wanafunzi wengi ni watoto wa wanajeshi.

Wakuu wa Hospitali wanasema kuwa zaidi ya watu 40 wanasemekana kujeruhiwa japo idadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Spain Gives Tanzania US$172 Million


Spain Gives Tanzania US$172 Million
AllAfrica.com
Dar es Salaam — The Spanish Government through the Sustainable Development Goals Fund (SDGF) has granted UN Agencies in Tanzania through its Delivering as One initiative over $ 172.23 million (Tsh.3.1 billion) to cover community development ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Watu 172 wamepoteza maisha barani Afrika

Kituo cha udhibiti na kuzuia magonjwa vya Umoja wa Afrika kimesema kuwa watu 172 wamepoteza maisha baada ya kuambukizwa virusi vya Covid-19 barani Afrika.

 

5 years ago

Michuzi

Sanlam commits TZS 172,500,000 to flattening the COVID-19 curve in Tanzania


By our staff reporter
As the number of Tanzanians who have tested positive for the corona (COVID-19) Virus continue to rise, Sanlam Life Insurance Tanzania and Sanlam General Insurance Tanzania, the leading providers of dynamic and innovative insurance solutions respectively, have stepped up to contribute to national efforts to reduce the impact of the disease, known technically as ‘flattening the curve’.
Sanlam Companies have donated TZS 172,500,000 to the National Relief Fund to fight...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni

https://www.facebook.com/voiceofzanzibar?fref=ts Afisa wa Tume juma chum YADAI watu wafungue kesi ya malalamiko mahakamani Mtu mmoja akamatwa na vitambulisho haramu ambae ni katibu wa CCM wa tawi akivigawa kwa watu tume wanasema wapewe wenyewe wapige kura kisha […]

The post Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani