Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya waliouawa Pakistan yafika 130.

Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinakabiliwa na hali ngumu kuweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan

Takriban watu miamoja na thelathini wamefariki , wengi wao wakiwa watoto.

Msemaji wa jeshi anasema washukiwa sita wameuawa huku operesheni hio ikiendelea.

Shule hio inasimamiwa na jeshi na wanafunzi wengi ni watoto wa wanajeshi.

Wakuu wa Hospitali wanasema kuwa zaidi ya watu 40 wanasemekana kujeruhiwa japo idadi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakristu wazika waumini waliouawa Pakistan

Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban

 

10 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300

Mamlaka ya Nepal inasema kuwa zaidi ya watu 3300 sasa wanasemekana kufariki katika tetemeko kubwa la ardhi siku ya jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

172:Idadi ya wapalestina waliouawa Gaza

Mashambulizi ya angani yanayofanywa na Israel katika eneo la Gaza yameendelea huku oparesheni ya Isreal dhidi ya wapiganaji wa kipalestina ikiingia siku yake ya 7.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281

Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 281 baada ya visa vingine 11 kuthibitishwa Jumatatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo

Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashirika hatimaye yafika Gaza

Makundi ya kimataifa ya misaada ya kibinadamu na shirika la chakula la umoja wa mataifa WFP yamefika gaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON ya wanawake yafika ukingoni

Michuano ya fainali za 9 za kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake imeingia hatua ya nusu fainali huko Namibia.

 

11 years ago

GPL

KAWAMBWA CUP YAFIKA TAMATI

Meneja wa Masoko wa Kampuni ya Konyagi Joseph Chibehe (kulia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Mwambao, Selemani Lugono baada ya timu yake kuibuka washindi wa pili katika Ligi ya Kawambwa Cup iliyomalizika mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mbunge wa Jimbo hilo, Dk. Shukuru Kawambwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa BMT, Iddi Kipingu. (PICHA NA SUPER D) ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani