Idadi ya waliouawa Pakistan yafika 130.
Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinakabiliwa na hali ngumu kuweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan
Takriban watu miamoja na thelathini wamefariki , wengi wao wakiwa watoto.
Msemaji wa jeshi anasema washukiwa sita wameuawa huku operesheni hio ikiendelea.
Shule hio inasimamiwa na jeshi na wanafunzi wengi ni watoto wa wanajeshi.
Wakuu wa Hospitali wanasema kuwa zaidi ya watu 40 wanasemekana kujeruhiwa japo idadi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Wakristu wazika waumini waliouawa Pakistan
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
172:Idadi ya wapalestina waliouawa Gaza
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Mashirika hatimaye yafika Gaza
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
AFCON ya wanawake yafika ukingoni
11 years ago
GPLKAWAMBWA CUP YAFIKA TAMATI