Wakristu wazika waumini waliouawa Pakistan
Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV16 Dec
Idadi ya waliouawa Pakistan yafika 130.
Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinakabiliwa na hali ngumu kuweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan
Takriban watu miamoja na thelathini wamefariki , wengi wao wakiwa watoto.
Msemaji wa jeshi anasema washukiwa sita wameuawa huku operesheni hio ikiendelea.
Shule hio inasimamiwa na jeshi na wanafunzi wengi ni watoto wa wanajeshi.
Wakuu wa Hospitali wanasema kuwa zaidi ya watu 40 wanasemekana kujeruhiwa japo idadi...
10 years ago
Habarileo04 Dec
Arusha wazika ndoa ya Ukawa
VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.
10 years ago
Habarileo20 Jan
Wabunge EAC wazika mgogoro
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa mwaka mzima na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Jumuiya hiyo.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
IS yawateka wakristu 90 Syria
11 years ago
Habarileo24 Aug
Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti
UONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Wakristu watoroka Qaraqosh Iraq
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wakristu zaidi watekwa nyara Syria
10 years ago
GPL
BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Papa 'wakristu wasilipize kisasi' Afrika ya Kati