Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA

Na Haruni Sanchawa
TUKIO la aina yake! Dereva wa bodaboda aliyejulikana kwa jina la Alex Wilson amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa na kuporwa pikipiki lakini cha ajabu, siku ya mazishi yake kaburini kukazikwa mgomba baada ya mwili kuzuiwa usizikwe, Uwazi limechimba kisa kamili. Marehemu Alex Wilson enzi za uhai wake. Ilikuwa Aprili 8, mwaka huu katika maeneo ya Mbezi Beach karibu na Kiwanda cha Rafia, Alex ambaye ni mwenyeji wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA

Mwendesha bodaboda akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam,  juzi jioni ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida

DSC016461

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.

Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dereva wa bodaboda afa ajalini

DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mjamzito afa ajali ya bodaboda

Mjamzito, Mwajuma Lyanga (20), Mkazi wa Kijiji cha Mtekente, Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba mkoani hapa, amekutwa amekufa chini ya daraja kwa ajali ya pikipiki.

 

10 years ago

GPL

FILIKUNJOMBE AKINYWA MAJI KWA MAJANI YA MGOMBA

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake  wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi (Picha na Francis…

 

10 years ago

Mwananchi

Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa

Familia ya watu watatu ya mkazi wa Kijiji cha Mwamalulu, Kata ya Nara, wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora, Leticia Thomas (30) na watoto wake wawili, wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

GPL

MKE MATUNZO, NI SAWA NA MGOMBA KUPALILIWA!

Assalaam alaikum/Bwana Yesu asifiwe! Bila shaka mna afya njema wasomaji wangu. Kikubwa mjue naendelea kuwapenda, kuwathamini na kuwaheshimu kwani mmekuwa mkionesha kukubali kile ambacho nakiandika kupitia safu hii. Baada ya kuwavalia njuga wanawake kwa muda mrefu, leo niwageukie wanaume hasa ikifahamika kwamba, hakuna aliyekamilika isipokuwa Mwenyezi Mungu tu. Ndiyo maana leo nimeamua kuwasema wanaume kwa sababu nao ni miongoni...

 

10 years ago

Habarileo

Arusha wazika ndoa ya Ukawa

Viongozi wakuu wa Ukawa. Kutoka kulia ni, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalimu Seif Sharifu Hamad , Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia.VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge EAC wazika mgogoro

Spika Daniel Kidega BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limetangaza rasmi kumalizika kwa mgogoro uliodumu kwa mwaka mzima na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Jumuiya hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani