Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dereva wa bodaboda afa ajalini

DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dereva lori la mafuta afa ajalini

DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari afa ajalini

DAKTARI aliyefahamika kwa jina moja la Petu wa Hospitali ya Kisarawe, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari, eneo la Pugu-Kinyamwezi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi,...

 

10 years ago

Habarileo

Katibu UVCCM Arumeru afa ajalini

SIKU chache baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru kupoteza watumishi kadhaa wa Idara ya Elimu akiwemo Ofisa Elimu wake katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria na lori la mafuta, Arumeru imepata msiba mwingine baada ya jana Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo kufa ajalini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mhadhiri raia wa Ujerumani afa ajalini

Mhadhiri wa kujitolea wa Chuo Kikuu cha Iringa (UoI) Dorosea Lehmani (64) raia wa Ujerumani amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea juzi mkoani Iringa.

 

11 years ago

Habarileo

Padre wa Kanisa Katoliki afa ajalini

WATU wawili, akiwemo Padre Martin Kapufi (37) wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, wamekufa katika ajali ya gari, walilokuwa wakisafiria, kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Kamsisi Barabara ya Inyonga -Tabora.

 

10 years ago

GPL

MMILIKI WA MATTEI LODGE AFA AJALINI DODOMA

Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali. Wananchi wakiwa eneo la tukio. MMILIKI wa Mattei Lodge iliyopo Area D mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina moja tu la Mattei amefariki dunia katika ajali ya gari jana Jumapili eneo la Pandembili, Kongwa. Chanzo cha ajali…

 

11 years ago

Habarileo

Taqwa lagongana na lori, dereva afa

DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva bodaboda wafa ajalini

MWENDESHA pikipiki (bodaboda), Moshi Ramadhani (27) amekufa papo hapo huku abiria aliyekuwa amembeba ambaye ni Ofisa Utamaduni wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, amesagika mguu na kuvunjika mkono, baada ya kugongwa na basi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waendesha bodaboda wafa ajalini

WAENDESHA pikipiki wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali tofauti. Akielezea ajali hizo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema dereva wa pikipiki ‘bodaboda’,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani