MMILIKI WA MATTEI LODGE AFA AJALINI DODOMA
![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgUB7DxWuu5qYvZHN83SIT-7RB3SAYBY30SHVBVNyPTlIMZhdEgCOziAdFnG3wIlce4A7zZWWOa9YVFwNJAsLNx/matei.jpg?width=650)
Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali. Wananchi wakiwa eneo la tukio. MMILIKI wa Mattei Lodge iliyopo Area D mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina moja tu la Mattei amefariki dunia katika ajali ya gari jana Jumapili eneo la Pandembili, Kongwa. Chanzo cha ajali…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Daktari afa ajalini
DAKTARI aliyefahamika kwa jina moja la Petu wa Hospitali ya Kisarawe, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari, eneo la Pugu-Kinyamwezi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi,...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dereva wa bodaboda afa ajalini
DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Mhadhiri raia wa Ujerumani afa ajalini
10 years ago
Habarileo03 Nov
Katibu UVCCM Arumeru afa ajalini
SIKU chache baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru kupoteza watumishi kadhaa wa Idara ya Elimu akiwemo Ofisa Elimu wake katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria na lori la mafuta, Arumeru imepata msiba mwingine baada ya jana Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo kufa ajalini.
11 years ago
Habarileo06 May
Padre wa Kanisa Katoliki afa ajalini
WATU wawili, akiwemo Padre Martin Kapufi (37) wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, wamekufa katika ajali ya gari, walilokuwa wakisafiria, kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Kamsisi Barabara ya Inyonga -Tabora.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Polisi 5 wafa ajalini Dodoma
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limepata pigo baada ya askari wake watano kufa kwenye ajali ya gari eneo la Mitumba, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma. Akizungumzia ajali hiyo iliyotokea...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-MYZbWuncs-Q/VLmtSnuiDvI/AAAAAAADVno/9NXc8rYupzE/s72-c/mama_picha_001-page-0.jpg)
Msiba wa Dada Leticia Mattei Rwechungura
![](http://3.bp.blogspot.com/-MYZbWuncs-Q/VLmtSnuiDvI/AAAAAAADVno/9NXc8rYupzE/s1600/mama_picha_001-page-0.jpg)
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern Equatoria...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-US7O_hgeiYY/VLoq4Y1-jiI/AAAAAAADVoI/d8DguULyLJc/s72-c/mama_picha_001-page-001.jpg)
Msiba wa Mama Leticia Mattei Rwechungura
![](http://3.bp.blogspot.com/-US7O_hgeiYY/VLoq4Y1-jiI/AAAAAAADVoI/d8DguULyLJc/s1600/mama_picha_001-page-001.jpg)
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern Equatoria...