Msiba wa Dada Leticia Mattei Rwechungura
![](http://3.bp.blogspot.com/-MYZbWuncs-Q/VLmtSnuiDvI/AAAAAAADVno/9NXc8rYupzE/s72-c/mama_picha_001-page-0.jpg)
Tunasikitika kutangaza kifo cha ghafla cha dada yetu mpendwa Leticia Mattei Rwechungura kilichotokea hapa Ujerumani tarehe 06.01.2015.Mazishi yatafanyika hapa Ujerumani Königswinter, karibu na mji wa Bonn tarehe 24.01.2015. Misa itaanza saa tano asubuhi (11:00 a.m.), katika Kanisa la St. Michael Niederdollendorf, Petersbergerstr. 14, 53639 Königswinter.
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern Equatoria...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAARIFA YA MSIBA WA DADA LETICIA MATTEI RWECHUNGURA ULIOTOKEA NCHINI UJERUMANI
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-US7O_hgeiYY/VLoq4Y1-jiI/AAAAAAADVoI/d8DguULyLJc/s72-c/mama_picha_001-page-001.jpg)
Msiba wa Mama Leticia Mattei Rwechungura
![](http://3.bp.blogspot.com/-US7O_hgeiYY/VLoq4Y1-jiI/AAAAAAADVoI/d8DguULyLJc/s1600/mama_picha_001-page-001.jpg)
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern Equatoria...
11 years ago
Michuzi12 Feb
TAARIFA YA MSIBA WA DADA YAKE LOVENESS MAMUYA
Watanzania tujumuike na dada yetu Loveness Mamuya, na kuhudhuria msiba wa kifo cha dada yake mpendwa MERCY MAMUYA MTUI kilichotokea leo alfajiri Tanzania. Kwa wakazi wa DMV na vitongoji vyake msiba upo nyumbani kwa Bi Loveness Mamuya. kama ilivyo mila na desturi yetu tunaomba tumfariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. ADDRESS: 1005 Meandaring way Odeton MD 21113 NAMBA YA SIMU: LOVENESS MAMUYA:240-4230437 AZIZI: 301-768-9195
Mwenyezi mungu amlaze marehemu mahala pema...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Mkuu Majaliwa ahani msiba wa dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s72-c/m1.jpeg)
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA DADA YAKE YAKE KIJIJINI CHATO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s1600/m1.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-n292POPsI1E/XsFAXpPoBlI/AAAAAAALqkI/MD_qJVX0vgQXDWPv5JGLVURcsbLrYzprQCLcBGAsYHQ/s1600/m2.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgUB7DxWuu5qYvZHN83SIT-7RB3SAYBY30SHVBVNyPTlIMZhdEgCOziAdFnG3wIlce4A7zZWWOa9YVFwNJAsLNx/matei.jpg?width=650)
MMILIKI WA MATTEI LODGE AFA AJALINI DODOMA
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Leticia Nyerere ashushuliwa
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka mbunge mwenzake, Leticia Nyerere, aache ubunge na akajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani. Kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Leticia Nyerere mahututi Marekani
*Apumulia mashine, familia yaanza kujipanga
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HALI ya afya ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere si nzuri.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, Leticia amelazwa katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Maryland nchini Marekani.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa mwanasiasa huyo amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), ingawa haijafahamika anasumbuliwa na tatizo gani.
Tangu juzi...