Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leticia Nyerere mahututi Marekani

Leticia-Nyerere*Apumulia mashine, familia yaanza kujipanga

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

HALI ya afya ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere si nzuri.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, Leticia amelazwa katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Maryland nchini Marekani.

Chanzo hicho kimeeleza kuwa mwanasiasa huyo amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), ingawa haijafahamika anasumbuliwa na tatizo gani.

Tangu juzi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Leticia Nyerere ashushuliwa

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka mbunge mwenzake, Leticia Nyerere, aache ubunge na akajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani. Kauli hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Leticia Nyerere juzi aliwaangukia wajumbe wenzake na kuwaomba wapitishe kanuni inayozuia majina ya waasisi wa Muungano wa Tanzania kutumika kwa dhihaka.

 

9 years ago

Mtanzania

Familia ya Leticia Nyerere kutoa tamko Ijumaa

leticia nyerereNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

FAMILIA ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere, imesema baada ya kukamilisha majadiliano inatarajia kutoa tamko la kifamilia Januari mosi.

Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam, msemaji wa familia ya Msobi Mageni, John Shibuda, alisema kwa sasa haina cha kuzungumza na kwamba baada ya kukaa ndipo itakuwa na neno la kusema.

Alisema mgonjwa bado yupo hospitali na kwamba familia ndiyo...

 

10 years ago

GPL

LETICIA NYERERE AIKACHA CHADEMA, AHAMIA CCM

Mh. Leticia Nyerere (katikati) akiwa na watoto wake Julia Nyerere (kulia) na Helena Nyerere (kushoto) wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kwa karibu tukio hilo. Mh. Leticia akikazia jambo. Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leticia Nyerere ametangaza kuCihama rasmi chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.

 Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Leticia Nyerere akinyanyua mikono ikiwa ni sehemu ya ishara ya kuondoka katika chama hicho na kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.

 Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere akifafanua jambo kwa waandishi habari juu ya kuondoka katika chama hicho. Waandishi wa habari wakifuatilia kwa umakini maelezo ya Mbunge wa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE ZA MBUNGE LETICIA NYERERE ALIPOTANGAZA KUJIUNGA NA CCM

  Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Leticia Nyerere akinyanyua mikono ikiwa ni sehemu ya ishara ya kuondoka katika chama hicho na kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere akifafanua jambo kwa waandishi habari juu ya kuondoka katika chama hicho.Mwandishi akiuliza swali kwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia...

 

11 years ago

Vijimambo

6TH ANNUAL JULIUS K. NYERERE COMMEMORATION YAFANYIKA CAPITOL HEIGHTS MARYLAND NCHINI MAREKANI

Bwana na Bibi Rick Tingling wakiwashukuru watu kwa kuja kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ambayo hiyo jana siku ya Jumapili Novemba 2, 2014 ilikua ni kumbukumbu ya 6 tangia bwn. Rick Tingling alipoanzisha kumbukumbu za Mwalimu Nyerere mwaka 2009 hapa DMV. Yeye bwn. Tingling ni Mmarekani aliyemjua Mwalimu Nyerere kwa kusoma vitabu vyake na kuanza kumfuatilia na kutambua kwamba Mwalimu Julius Nyerere ni kiongozi asiyekua na mfano na ambaye huwezi kumlinganisha na kionozi yeyeyote...

 

10 years ago

Mwananchi

Abwao, Leticia wavua magwanda

>Wabunge wawili wa Viti Maalumu (Chadema) wamekihama chama hicho na kujiunga na na vyama vingine huku mmoja akikiponda chama hicho kuwa hakina dhamira ya dhati ya kupambana na ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani