Familia ya Leticia Nyerere kutoa tamko Ijumaa
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
FAMILIA ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere, imesema baada ya kukamilisha majadiliano inatarajia kutoa tamko la kifamilia Januari mosi.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam, msemaji wa familia ya Msobi Mageni, John Shibuda, alisema kwa sasa haina cha kuzungumza na kwamba baada ya kukaa ndipo itakuwa na neno la kusema.
Alisema mgonjwa bado yupo hospitali na kwamba familia ndiyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Dec
Familia ya Leticia kuzungumzia afya yake Ijumaa
FAMILIA ya Leticia Nyerere, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) katika Bunge lililopita, itatoa tamko kuhusu hali ya afya ya mwanasiasa huyo Ijumaa wiki hii, baada ya kupata taarifa ya madaktari wanaomtibu.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Leticia Nyerere ashushuliwa
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka mbunge mwenzake, Leticia Nyerere, aache ubunge na akajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani. Kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Leticia Nyerere mahututi Marekani
*Apumulia mashine, familia yaanza kujipanga
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HALI ya afya ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere si nzuri.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, Leticia amelazwa katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Maryland nchini Marekani.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa mwanasiasa huyo amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), ingawa haijafahamika anasumbuliwa na tatizo gani.
Tangu juzi...
10 years ago
GPL
LETICIA NYERERE AIKACHA CHADEMA, AHAMIA CCM
10 years ago
Vijimambo
PICHA ZINGINE ZA MBUNGE LETICIA NYERERE ALIPOTANGAZA KUJIUNGA NA CCM



10 years ago
Michuzi
Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.



10 years ago
VijimamboRais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.
10 years ago
Dewji Blog28 Jul