Familia ya Leticia kuzungumzia afya yake Ijumaa
FAMILIA ya Leticia Nyerere, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) katika Bunge lililopita, itatoa tamko kuhusu hali ya afya ya mwanasiasa huyo Ijumaa wiki hii, baada ya kupata taarifa ya madaktari wanaomtibu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Familia ya Leticia Nyerere kutoa tamko Ijumaa
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
FAMILIA ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere, imesema baada ya kukamilisha majadiliano inatarajia kutoa tamko la kifamilia Januari mosi.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam, msemaji wa familia ya Msobi Mageni, John Shibuda, alisema kwa sasa haina cha kuzungumza na kwamba baada ya kukaa ndipo itakuwa na neno la kusema.
Alisema mgonjwa bado yupo hospitali na kwamba familia ndiyo...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Membe kuzungumzia adhabu yake leo
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema leo atazungumzia hatua ya CCM kumpa onyo kali na kumweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFtBPvdef1Vnba-oYfwbw5jfIqBWADJ1tp8NS*8Y6OfhzTtN2q9NmPUjBlGZZjn0HZmwK8MoSAbkLj6uUNllnFG/mbdog6.jpg)
MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!
10 years ago
VijimamboEDAH NA FAMILIA YAKE WASHEREHEKEA VALENTINE
Edah (wapili tokakushoto) akiwa na familia yake kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Sheraton ya Silver Spring wakijiandaa kuelekea viwanja kula raha ya Valentine Kushoto ni Vincent.
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Ni kweli Vincent aliuwa familia yake? — 3
AKIZUNGUMZIA uhusiano wa Vincent na Joanie, Janea alisema kwamba katika kipindi ambacho Joanie al
Shaban Kaluse
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Ni kweli Vincent aliuwa familia yake? — 2
MTOTO mwingine, Lyndsey Harper aliyekuwa na umri wa miaka miwili alikutwa amelala upande wa miguu
Mwandishi Wetu
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
‘Kijana wa saa’ kuhamia Qatar na familia yake
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mpiga picha na familia yake wauawa Burundi